hoja za lissu

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Mkalukungone Mwamba

    Kesho Mahakama itaanza kusikiliza sababu za Lissu kutaka, kuunganishwa kwenye kesi mgawanyo wa mali za CHADEMA

    Mahakama kesho inatarajiwa kuanza kusikiliza hoja za Tundu Lissu kuhusu ombi lake la kuunganishwa katika kesi inayohusu mgawanyo wa mali za chama cha Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA). Soma Pia: Mapingamizi dhidi ya Tundu Lissu kuunganishwa katika Kesi ya Mgawanyo wa Mali CHADEMA...
  2. S

    Hoja za Lissu zina mashiko sana, hofu yangu ni Mahakama Kuu kumuachia halafu wakamkamata tena

    Kwa yeyote anayefuatilia hii kesi, atakubaliana nami kuwa Lissu amewazidi vibaya sana kwa hoja mawakili la serikali mpaka kufikia hatua ya hawa mawakili wake serikali kuiomba Mahakama itumie busara katika kufanya maamuzi badala ya sheria. Hivyo, kama Mahakama itaamua kwa uhuru, ni wazi Lissu...
  3. Heparin

    PreGE2025 Nape Nnauye: Nashangaa Watanzania wanaokwenda kusikiliza upuuzi wa Lissu. Tumkemee, tumtenge na tumlaani

    Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari wa Tanzania, Nape Nnauye amelaani vikali kauli iliyotolewa na Makamu mwenyekiti wa CHADEMA Tundu Lissu kuhusu madai ya Rais Samia kuwaondoa Wamasai wa Ngorongoro kisa yeye ni Mzanzibari. Waziri Nape amesema kauli hii inapaswa kupingwa na...
Back
Top Bottom