hassy kitine

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Area 56

    Kumbe Hassy Kitine alikuwa Muislam?

    Nimeona akizikwaa kiislam. Nikasema kumbe kachero wetu alikuwa sheikh. Jina lilinichanganya sana. Naanza kuamini wazee wetu zamani walibadili majina ili wapate fursa ya kwenda shule, wengine wakanogewa na kubadili dini kabisa huko seminari kama ilivyokuwa kwa kachero mbobezi na mwanadiplomasi...
  2. Ojuolegbha

    Jeneza lenye mwili wa aliyekuwa Mkurugenzi Mkuu wa TISS likiwasili nyumbani kwake

    Jeneza lenye mwili wa aliyekuwa Mkurugenzi Mkuu wa Idara ya Usalama wa Taifa (TISS), Mbunge wa Makete, na Waziri wa Nchi - Ofisi ya Rais (Usalama wa Taifa), Dkt. Hassy Kitine, lilivyowasili nyumbani kwake Osterbay, mtaa wa Laibon, Dar es Salaam. Mazishi yanatarajiwa kufanyika leo Julai 26, 2025...
Back
Top Bottom