Wapendwa, kwanza poleni sana na msiba.
Kwa upande wangu, naona kabisa kama niko kwenye majaribu makubwa.
Nimejaliwa watoto wangu wawili, na nikahisi wananitosha kabisa.
Hapo nikachukua uamuzi wa kuweka kipandikizi mkononi.
Baada ya mwaka mmoja kupita, kile kipandikizi kikaniletea maudhi...
Somo Fupi: Utofauti wa Bidhaa za Kawaida na Mendose
Bidhaa nyingi za stamina – mara nyingi zinasukuma mwili kwa nguvu za bandia. Hupandisha presha ghafla, kufanya moyo kupiga haraka, kisha nguvu hupotea haraka. Matokeo yake: mwili unachoka zaidi, kinga hushuka, na mara nyingine husababisha hofu...
Anorexia Nervosa Ni Nini?
Anorexia Nervosa ni tatizo la akili na lishe (eating disorder) ambapo mtu hujizuia kula chakula au kula kidogo sana kwa hofu kubwa ya kunenepa, hata kama tayari ni mwembamba kupita kiasi.
Mtu mwenye anorexia huwa na mtazamo usio sahihi juu ya mwili wake na huamini...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.