Leo ni takriban siku ya 10 toka Jeshi la Polisi Tanzania lilipotoa taarifa ya hali ya usalama nchini tarehe 12/12/2025.
Tungependa kuwajulisha kuwa, kwa kipindi chote hicho hali ya usalama nchini ni shwari pamoja na kwamba kulijitokeza kwa baadhi ya matukio machache ambayo yalishughulikiwa kwa...
Kilichokuwa kiwe uchaguzi mkuu Tanzania kwa mujibu wa katiba yake, kimepita na yaliyotokea sote tunayafahamu!
Bado taifa halijatulia, bado fukuto lipo, la dhuluma, la maumivu, la ukatili mkubwa uliitokea nknk
Hofu kwa upande wa pili ni kubwa zaidi.. Nadhani intelijensia inawapenyezea hali...
ACA YAAHIRISHA MKUTANO WA 19 WA KILA MWAKA WA KOROSHO NA MAONESHO JIJINI DAR ES SALAAM, TANZANIA
Bodi ya Wakurugenzi ya Muungano wa Korosho Afrika (ACA) imetangaza kuwa Mkutano wa 19 wa Kila Mwaka wa Korosho na Maonesho ya ACA, uliokuwa umepangwa kufanyika kuanzia tarehe 18 hadi 22 Novemba 2025...
Waziri wa Mambo ya ndani ya nchi, Innocent Bashungwa, leo amefungua rasmi Kituo cha Polisi Wilaya ya Chemba mkoani Dodoma na kutoa ujumbe muhimu kuhusu hali ya usalama wa nchi na maandalizi kuelekea Uchaguzi Mkuu.
Kamati Kuu ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) inakutana leo Dar es salaam katika kikao chake cha kawaida cha siku mbili.
Pamoja na masuala mengine kikao hicho kitajadili na kupokea;
1. Taarifa ya hali ya usalama nchini.
2. Kufanya usaili na kuteua wagombea wa nafasi mbalimbali za...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.