haki za kidijitali

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Mashamba Makubwa Nalima

    Brr!! Brrr! SMS mpya, najua MSHAHARA kumbe TUME, wazee acheni utani najua haki zangu someni alama za nyakati

    Muda wa maigizo umeshapita nahisi ilichokifanya mwezi wa 11 mwaka jana kilawapa jeuri sana, yaani mnawaondoa wagombea wa upinzani na kuiba kura wazi wazi (ushahidi upo humu humu Mods msifute uzi). Ule ujinga hautojirudia, na hii ni milele, chaguzi za hii nchi zitaheshimiwa na hazitokuwa teuzi...
  2. Pfizer

    PreGE2025 Wadau Watoa Tahadhari kuhusu Haki za Kidijitali kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

    MASHIRIKA mawili makubwa yanayojihusisha na haki za kidijitali ya Paradigm Initiative (PIN) na Tech & Media Convergency (TMC) yametoa mapendekezo kwa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) Kurejesha kikamilifu upatikanaji wa Mtandao wa X (zamani Twitter) na kujitolea kwa intaneti iliyo wazi na...
  3. The Sheriff

    India: Vyama vya Habari, Makundi ya Haki za Kidijitali yataka kufutwa kwa zheria za kudhibiti Uhuru wa Vyombo vya Habari

    Muungano wa vyama vya habari na mashirika ya haki za kidijitali nchini India tarehe 28 Mei walipitisha azimio likiitaka serikali kuu kufuta sheria mpya ambazo "zinakusudia kudhibiti" uhuru wa vyombo vya habari, Baraza la Vyombo vya Habari la India lilisema katika taarifa siku ya Ijumaa. Sheria...
  4. The Dictator

    Wajue: Baadhi ya wanawake waliosaidia katika ukuaji wa sayansi na Teknolojia.

    1. Katherine Johnson (1918-2020) Picha Credit: Alex Wong /Getty Images Katherine Johnson alikuwa mwanamke mwanahisabati na mmoja wa wanawake wa kwanza wenye asili ya African-American kufanya kazi kama mwanasayansi chini ya kampuni ya NASA. Kama mwanahisabati, alifanikisha kukokotoa na...
  5. OLS

    Kwanini wanakomalia laini kukatwa kodi?

    Mara ya kwanza mbunge wa Gairo alishauri laini zitozwe TSh 200 kila mwezi. Na sasa huyu mwingine ameshauri laini itozwe Tsh 50. Kwanini wanaona ni muhimu kutoza laini za simu? Ni rahisi lakini je kitendo hiki ni halali kwa watanzania ambao wanahangaika kumiliki simu nk. Je hatuoni kuwa...
Back
Top Bottom