gombo samandito gombo

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. R

    GE2025 Mgombea Urais CUF awaonya wanaohamasisha Maandamano Oktoba 29, 2025

    Mgombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama cha Wananchi (CUF), Gombo Gombo, amewatahadharisha wale wanaohamasisha maandamano siku ya kupiga kura, Oktoba 29, 2025, akisema nia yao ni kuichafua Tanzania huku wao wakiwa salama nchi za nje Gombo ametoa kauli hiyo leo, Jumamosi...
  2. Waufukweni

    GE2025 Gombo: Hakuna kususia Uchaguzi, tukapige na kuzilinda Kura

    Mgombea Urais kupitia Chama cha Wananchi (CUF), Gombo Samandito Gombo, amewaasa wananchi kujitokeza kwa wingi kwenye zoezi la kupiga kura, akisisitiza kuwa ndio njia pekee itakayowezesha kumchagua kiongozi wanayemtaka. Pia mgombea urais huyo ameitaka Tume huru ya uchaguzi kutenda haki na usawa...
  3. W

    GE2025 Gombo: Nikishinda tu Uchaguzi nawaachia wenye kesi za Uhaini

    Mgombea Urais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania Gombo Samandito Gombo amesema kwamba atakapopata ridhaa ya kuongoza nchi atahakikisha wanasiasa wote waliopewa kesi za uhaini wanaachiliwa huru.
Back
Top Bottom