george mkuchika

George Huruma Mkuchika (born 6 October 1948) is a Tanzanian CCM politician and Member of Parliament for Newala constituency. He is the current Minister of State in the President's Office (special work).

View More On Wikipedia.org
  1. Jidu La Mabambasi

    Hii picha kuna kitu hakiko sawa: Mzee George Mkuchika amesimama vijana wamekaa

    Kuna kitu hakiko sawa, sijui kama nanyi wana JF mme note. Waziri wa siku nyingi, mzee George Huruma Mkuchika ambaye yuko Ikulu miaka mingi, kiasi cha vijana wengi mawaziri kumuamkia shikamoo. Kaachwa amesimama, wakati vijana wamekaalia viti!! Kuna kitu hakiko sawa!
  2. Waufukweni

    PreGE2025 George Mkuchika atangaza rasmi kutogombea ubunge katika uchaguzi mkuu 2025

    Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais, Kazi Maalumu George Mkuchika ambaye ni Mbunge wa Jimbo la Newala Mji mkoani Mtwara ametangaza rasmi kutogombea ubunge katika uchaguzi wa mwezi Oktoba mwaka huu. Waziri Mkuchika ametangaza uamuzi huo kwenye kikao cha kamati kuu ya jimbo kilichokuwa na lengo la...
  3. MNEKI

    Unafiki mwingine kwenye umbo lake halisi huu hapa!

    Unafiki wa hali ya juu utauona kwa Wanandoa wanaoishi mbalimbali miaka yote kwa kisingizio chochote , hasa Kazi. Na hawafanyi jitihada zozote za makusudi kuonyesha hawakubaliani na huo mtawanyiko.,,,,Yani kwa kifupi Wana Amani. Ukiangalia kwa mbali ni kama Kuna Ndoa ,, Ukisogea karibu utagundua...
Back
Top Bottom