geita gold mining

The Geita Gold Mine is an open pit gold mine located in the Geita District of the Geita Region (formerly part of the Mwanza Region) of Tanzania. It is operated by AngloGold Ashanti.
In 2008, the mine accounted for 6% of the company's overall annual gold production and employed close to 3,200 staff.

View More On Wikipedia.org
  1. C

    Ajira za migodini hasa mikubwa kama Barrick na GGML

    Heshima kwenu wote familia Kutokana na changamoto ya ajira hasa katika sekta hizi za engeneering, nikawa nimejaribu kufikiria kuhusu nafasi za kuingia migodini lakini ugumu uliopo ni namna ya kuingia maana nafasi zinatolewa, maombi yanatumwa ila changamoto kupata nafasi ndani. Binafsi nmepga...
  2. Geita Gold Mining Limited watoa msaada wa pikipiki 15 kwa jeshi la polisi kuimarisha usalama

    Mgodi wa Dhahabu wa Geita Gold Mining Limited (GGML) umetoa msaada wa pikipiki 15 kwa Jeshi la Polisi kwa lengo la kusaidia shughuli za doria na operesheni mbalimbali zinazolenga kuimarisha usalama wa raia na mali zao. Akipokea Pikipiki hizo kwa niaba ya Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini (IGP)...
  3. SoC04 From Dust to Diamonds: Transforming Tanzania's Mining Sector Within a Generation

    The Paradox of Plenty: Tanzania's Mining Dilemma The Tanzanian sun blazes down on the arid landscape of Mwadui, a village shimmering with the promise of diamonds. Here, as in countless other mining communities across the nation, the relentless toil of miners stands in stark contrast to the...
  4. Paul Makonda awataka Geita Gold Mining kuhakikisha Fedha za CSR wanazotoa kwa ajili ya jamii zinafika kwa walengwa ambao wengi wao ni walala hoi

    Makonda aisisitiza GGML kuhakikisha CSR inabadilisha maisha ya wana-Geita - MKUU wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda ametoa wito kwa Kampuni ya Geita Gold Mining Limited (GGML) kuhakikisha fedha zinazotolewa na kampuni hiyo kutekeleza miradi mbalimbali ya kijamii (CSR) zinagusa na kubadilisha maisha...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…