fursa za uongozi

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Tlaatlaah

    Mihemko na hasira za mkizi katika siasa za Tanzania, vimekua utambulisho muhimu sana kwa wanasiasa mamaluki wa vibaraka wa magharibi

    Unadhani ni kwanini viongozi hao wa vyama vya siasa na wafuasi wao waliopoteza uelekeo wa kisiasa na kukosa hoja wamekua na mihemko na hasira kupindukia.? Yaani kwao hakuna jema kabisa, yote ni mabaya tu. Na wanaona kila kitu kinachofanyika nchini ni kiro kwao. Wamejawa chuki isiyo na sababu na...
  2. funaku

    Vijana wa late 70s na 80s waliopewa fursa za Uongozi lakini wamekengeuka

    Ni wazi lipo rika la vijana ambalo ndio tunalitarajia lituvushe katika kipindi cha miaka 30 hadi 40 ijayo. Wapo waliobahatika kuingia kwenye korido za Chama na Serikali...ingawa baadhi yao hawana vifua vya chuma. Hapa naongelea uropokaji wa vijana hawa both ndani ya CCM na ndani ya vyama vingine...
  3. Tlaatlaah

    PreGE2025 LGE2024 Unadhani ni kwanini vyama vya upinzani vikongwe nchini hawawaamini na hawapendelei kuwapa fursa za uongozi wa juu wanawake?

    Ni nini hasa huchangia vyama vya upinzani nchini, kuongozwa na wanaume pekee, na kutopendelea kabisa kuwapa fursa au kuchangamana na wanawake katika uongozi wa juu ndani ya vyama vyao vya kisiasa? Ni hawana uwezo, hawaaminiki wala kuthaminika ndani ya vyama vyao, hawana mipango madhubuti ya...
  4. J

    Selasini: Ni aibu kwa mwenyekiti wa Chama cha Siasa kukaa madarakani kwa miaka 20, mnawanyima Vijana fursa za Uongozi

    Makamu mwenyekiti wa NCCR mzee Selasini amesema ni ajbu kwa Kiongozi wa chama cha Siasa kukaa madarakani kwa miaka 20 na zaidi kwani ni kuwanyima Vijana fursa za Uongozi Mbatia aliwafukuza mzee Mrema na David Kafulila sasa iweje nongwa yeye kuondolewa? Ameuliza Selasini wakati akiongea na...
Back
Top Bottom