Habari za wakati huu?
Natafuta fundi seremala atakaefanya kazi kwenye karakana yetu, anaeweza kutengeneza kazi za mbao pamoja na MDF.
Ofisi ipo Tanga, korogwe... Sehemu ya kulala ipo vifaa vyote vipo ila kama anavyakwake itakua vizuri zaidi. Malipo ni maelewano kwa kila kazi atakayofanya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.