Wanabodi
Jumamosi ya leo, nimeanzia, ukumbi wa JNCC, kwenye kikao kazi cha Msajili wa Vyama vya Siasa Jaji Francis Mutungi, na Wahariri wa Vyombo vya Habari na Jukwaa la Wahariri (TEF), kuelekea uchaguzi mkuu 2025!.
NB: Kumbe Kikao hiki ni Strictly Confidential!, hivyo nitawapa briefing...
Msajili wa Milele wa Vyama vya siasa nchini Tanzania , Francis Mutungi , ameokota taarifa mitandaoni ambako inadaiwa kuna video ya Aibu ya kiongozi wa ccm inasambaa mitandaoni .
Sasa Mtukufu Mutungi moja kwa moja kaisingizia Chadema.
---
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimekiri...
Msajili wa vyama vya siasa Francis Mutungi ametangaza kukutana na Jeshi la Polisi huko Dodoma kwa lengo la kupanga ajenda za kikao dhidi vyama vya siasa, ambacho anapanga kukiitisha.
Maswali ni haya, Hivi Katiba ya Nchi hii haijaandika chochote kuhusu mikutano na makongamano ya vyama vya siasa...
Press ya Mnyika imesema kuwa Mtungi na CCM wana mpango wa kuifuta Chadema.
Mtungi, CCM, Polisi et al, fahamu kuwa Chembehai (DNA) ya CHADEMA imeshaunganishwa (INCORPORATED) na chembehai za watanzania.
Hivyo hilo mnalotaka kulifanya mnajisumbua sana sana mtaleta matatizo na sintofahamu, in the...