Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) imewataka wagombea ubunge na udiwani waliopitishwa na vyama husika, kufika kwa wasimamizi wa uchaguzi kuchukua fomu za tume hiyo.
Wasomi wetu hawa (PhD holders) walipata bahati ya kuteuliwa Ubunge kwa zile Nafasi kumi (10) za Mheshimiwa. Sasa zoezi la kuchukua Fomu limepita na wao wapo kimya! Kulikoni?
Chama cha Minduzi CCM mkoani Kigoma Kupitia kwa Katibu Mwenezi Deogratius Nsokolo,kimetoa orodha ya wagombea waliojitokeza kugombea ubunge na udiwani kupitia chama hicho, siku moja baada ya kufunga zoezi la uchukuaji na urejeshaji wa fomu ili kuanza mchakato mwingine wa kutafuta wagombea watatu...
Katibu wa Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Amos Makalla, amesema jumla ya wanachama 4,109 wamechukua fomu za kuomba ridhaa ya kugombea ubunge katika uchaguzi mkuu ujao kupitia chama hicho.
Akizungumza leo akiwa Makao Makuu ya CCM, Lumumba, Makala amesema:
"Kwa takwimu...
Mambo vp wakuu..
Kuna hili linaloendelea nchini la uchukuaji wa fomu za kugombea ubunge kwa tiketi ya CCM..
Kwa sisi content creators tumeshtukia mchongo na tumegundua ni sehemu ya contents za kufanya watu wafatilie yanayoendelea kwenye chama..
Kwa lugha ya mitaani tunasema chama kimetafuta...
Nimemuuliza Grok uwezekano wa CHADEMA kuzuia Uchaguzi. Imejibu hizo ni ndoto za mchana. Nikauliza tena iwapo CHADEMA Lissu imeamua kupita ktk hoja cha Chaumma kuwa Kususia Uchaguzi haukuwa mkakati wa CHADEMA bali ilikuwa ni kauli mbiu tu ya kumtisha Kasongo (ngiri) akiwa ndani ya Shimo. Akajibu...
Niliwahi kusikia watu wengi wanaochukua fomu za kugombea iwe ubunge wa Tanzania, Africa Mashariki, uspika au hata vyeo vikubwa ndani ya CCM huwa hata hawaamaanishi kupata hizo nafasi kwa wakati huo. Kwamba wengi wa watia nia huwa wanajua wazi hawawezi kutoboa mbele ya vigogo wanaojulikana mapema...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.