Mastaa wakubwa duniani Madonna, Shakira, na kundi la BTS wataongoza jukwaa siku ya fainali ya Kombe la Dunia Julai 19, 2026 huko New Jersey, Marekani. Michuano hii mikubwa inaandaliwa kwa ushirikiano wa nchi tatu ambazo ni Marekani, Canada, na Mexico.
Ngoma Mpya ya Shakira: Nyota huyu kutoka...