fao la kukosa ajira

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Masai wa Town

    Huu Hapa Utapeli wa Serikali ya CCM

    Hakuna jambo linauma kama kufukuzwa kazi katika kipindi ambacho hujajiandaa. Tumaini linalobaki ni kwenye savings na pension. Lakini baadae wakati wa kufuatilia pension unajikuta katika maumivu zaidi ya ile ya kufukuzwa kazi. Najiuliza Sheria iliyounda NSSF ilipitiswa na nani na kwa bunge...
  2. A

    KERO NSSF Huduma Kwa wateja hazipokelewi kabisa

    Mtu anasota mtaani zaidi ya miezi 6, hana ajira, NSSF ukidai mafao hayatoki subiri utapata ajira sio haki kwa maisha halisi ya mtanzania
  3. DOMINGO THOMAS

    Fahamu kuhusu Fao la Kukosa Ajira Tanzania (Unemployment Benefit)

    Fao la Kukosa Ajira ni faida/msaada wa kifedha unaotolewa kwa mwanachama wa mfuko wa pensheni aliyepoteza ajira kwa sababu zisizo za hiari, kama vile kufukuzwa kazi, kuisha kwa mkataba, au sababu nyingine za halali. Hata hivyo, fao hili halitolewi kwa mtu aliyeacha kazi kwa hiari, kwani kufanya...
  4. Tanki

    Tarehe 23 ya NSSF inavyonipa presha na kuniweka roho juu. Niombeeni please!

    Jumamosi tarehe 24 natakiwa nisafiri niende MOROGORO / TURIANI kumalizia msiba wa mzazi wangu. Then bado kuna vitu havijakaa sawa. Then sina kazi kwa sasa. Sasa, baada ya kufuatilia mafao yangu ya NSSF (Fao la kutokuwa na ajira kwasasa) tarehe ambayo NSSF walinipangia kwamba nitakuwa nimepata...
Back
Top Bottom