elimu ya kujitegemea

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Last_Joker

    Kusoma na kufaulu pekee vinatosha? uhitaji wa ujuzi zaidi katika ajira za sasa

    Hivi karibuni, kuna jambo moja ambalo vijana wengi wanaanza kugundua—cheti chako cha chuo si tiketi ya moja kwa moja kupata kazi. Unaweza kuwa na GPA ya 4.8 lakini bado ukakaa nyumbani bila kazi, wakati mwingine mwenye GPA ya 3.0 akipewa nafasi. Unajiuliza, hii ni bahati mbaya au kuna kitu...
  2. Massawejr

    Nafasi ya upendeleo

    Kwa upande wangu natamani sana kuona wanafunzi hasa kwanzia kidato cha kwanza mpaka cha sita wanapewa elimu ya kutosha ya kujitegemea. Kwamfano nchi yetu kuna washauri na watu waliobobea kwenye masuala ya teknolojia ya mtandaoni, pia watengeneza maudhui
  3. Stephano Mgendanyi

    Naibu Waziri Denis Londo Awaita Waliosoma JItegemee Kupiga Jeki Shule Yao

    Kuelekea miaka 50 ya Shule ya Sekondari Jitegemee, Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Denis Londo amewataka wananchi wakiwemo viongozi mbalimbali waliowahi kusoma katika shule hiyo ya jeshi kuunganisha nguvu kuwezesha maboresho ya miundombinu ya shule hiyo...
  4. Equation x

    Je, tatizo ni elimu au ni sisi wenyewe?

    Wengi tunaamini elimu ni ufunguo wa maisha, ikiwa na maana baada ya kuhitimu nitaajiriwa na maisha yataendelea. Ingawa sehemu kubwa, elimu imekuwa si fumbuzi katika kutatua kero za jamii; na hii inapelekea wahitimu wengi nyakati hizi wakiangaika kutafuta ajira badala ya kutengeneza ajira. Na...
Back
Top Bottom