Salamu ndugu Wana JF
Wazazi ni jukumu lenu kuwalea watoto na kuwafundisha Kila waanachostahili ikiwemo na tahadhari zote wanazotakiwa kuzichukua katika maisha Ili kuishi vizuri.Mnapaswa kufanya hivi Kwa kuwa mna experience ya maisha ya kutosha kwahivyo mnajua vingi na hakuna jipya kwenu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.