diwani ccm

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Waufukweni

    PreGE2025 Diwani CCM ataka Viongozi Wazee kuwapisha Vijana waongoze Taifa, sio mpaka wafie madarakani

    Diwani wa kata ya Kitandililo Halmashauri ya mji Makambako Imani Fute, ameomba viongozi wazee na waliokaa kwenye nafasi za uongozi kwa muda mrefu wawapishe vijana ili nao waoneshe uwezo wao katika kuwaongoza wananchi. Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025...
  2. Mindyou

    PreGE2025 Diwani Arusha: Madiwani wa Arusha tunakuomba msamaha Mkuu wa Mkoa kwa kumchagua Mbunge asiyejitambua

    Diwani wa Kata ya Themi wilaya ya Arusha mjini Mkoani Arusha Petro Lobora wakati wa kikao cha Baraza la madiwani bajet ya halmashauri kwa mwaka 2025-2026 alisimama na kuzungumza kwa niaba ya madiwani kwamba Mbunge walio nae Mrisho Mashaka Gambo hatoi ushirikiano kwa madiwani pindi anapohitajika...
  3. idawa

    Mbeya: Wananchi wenye hasira wachinja hadi kuua watoto wawili wa Diwani wa CCM

    Watu wasiojulikana wamewaua watoto wawili,mmoja akiwa ni binti wa kazi wa Diwani wa CCM kata ya Mkingamo wilaya Momba mkoani Mbeya. Chanzo cha mauaji inasemekana ni dhuluma ya viwanja kwa wananchi wa kawaida. Habari zaidi zinasema kawadhurumu wananchi viwanja vingi sana,wakati mwingine huuza...
Back
Top Bottom