dira ya maendeleo 2050

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Mkalukungone Mwamba

    Kafulila aeleza siri tatu muhimu kufanikisha dira 2050

    Mkurugenzi wa Kituo cha Ubia kati ya Sekta ya Umma na Binafsi (PPPC), David Kafulila ametaja mambo matatu ya msingi yanayopaswa kupewa kipaumbele ili Tanzania ifanikishe Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050. Akizungumza mkoani Dar es Salaam wakati wa mahojiano na kituo cha habari cha ITV katika...
  2. S.M.P2503

    DIRA 2050: Uchambuzi wa kina na ukosoaji wa kila sehemu Kipengele Kwa Kipengele- Suluhisho pia kwa kila kipengele kwa mifano hai

    1. Utangulizi wa Dira 2050, Nitaanza na ukosoaji na baade suluhisho. Ni Maoni yangu, povu ruksa bila matusi humu ndani. Ukosoaji: Lugha nzuri lakini ya kisiasa mno: Hii sehemu inaelezea historia ya Tanzania kwa mtazamo wa kusifu tu, bila kuonyesha dosari au changamoto halisi za uongozi kama...
  3. M

    Utu ni moja ya misingi mitano katika dira 2050

    Kila mmoja wetu anastahili kuheshimiwa na kuthaminiwa utu wake, kulindwa na kuhakikishiwa faragha yake. Hapa niseme tuh chini ya Rais Samia Amefanya na anadelea kutekeleza Dira hii ambayo imezinduliwa itakuwa na Maono chanya kwetu na kila Mmoja wetu yaani Mimi na tunahaki zote za Kuheshika na...
  4. Mkalukungone Mwamba

    Zitto Kabwe: Nidhamu ya kazi inahitajika kutekeleza dira 2050

    Leo imezinduliwa Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050. Shabaha ya Dira ni kuwa na Pato la Taifa la USD 1 trillion ambapo pato la mtu mmoja liwe wastani wa USD 7,000 kwa mwaka kutoka USD 1,200 za sasa. Hii maana yake ni kuwa Uchumi wetu (GDP) unapaswa kukua mara 13. Inawezekana, lakini katika Taifa...
  5. muonamambo

    Dira ingekuja na Graph, Key performance, Budget, Allocation na Projection

    Dira ingekuja na Graph na Key performance indicators .Figures na Projection . Ninachokiona na Maneno Mengi yasiokuwa na scientific back up ! Botswana wana Dira ya Miaka 25 . Mambo makubwa wanayoweka humo . Miundombinu ya barabara . Wanaontesha kila mwaka watajenga km ngapi za barabara ...
  6. Crocodiletooth

    Wana CHADEMA ,mlisha mtema mwenyekiti wenu,mpeni uhuru wake awe huru

    Leo tatehe 17/July,nimeshuhudia matusi,kejeli kutoka kwa wana chadema,juu ya mh.mbowe kuhudhuria katika suala ambalo linakwenda kutengeneza hatima ya maisha ya mtanzania kwa miaka 25 ijayo,Mbowe alialikwa na Kitila mkumbo,katika shughuli husika kama mchangiaji mkubwa katika utengenezaji wa sera...
  7. Erythrocyte

    Freeman Mbowe avuruga Uzinduzi wa Dira 2050, Wananchi wanamjadili yeye binafsi na kuipuuza Dira yenyewe, Hii ni ishara ya Nini?

    Inawezekana kabisa wale waliomualika walilenga "mambo mengine" lakini sasa jambo hilo limegeuka kuwa la moto na limebabua Dira yenyewe. Ni kweli kwamba Mbowe anajadiliwa kwa Negative na Positive (sitajadili hilo leo), lakini sasa ni dhahiri kwamba uzinduzi huo umetekwa na mahudhurio ya Mbowe...
  8. Roving Journalist

    Mbowe: Nimealikwa Dira 2050 kama Mtanzania, nina haki ya kuja, tuache unafiki

Back
Top Bottom