Deogratius Cosmas Mahinyila, ni mwanasheria kutoka Tanzania na mwanaharakati wa kisiasa toka chama kikuu cha upinzani cha CHADEMA. Alipata umaarufu Januari 2025 alipochaguliwa kuwa Mwenyekiti wa Taifa wa BAVICHA, Umoja wa Vijana wa CHADEMA, katika uchaguzi uliofanyika Ubungo Plaza jijini Dar es...
Mwenyekiti wa vijana chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA Deogratius Mahinyila akiongea na wananchi wa Bukoba Mjini katika ziara yao ya chama ya "No reforms No Election"
Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio...
Maneno mazito ya Mwenyekiti wa Baraza la Vijana CHADEMA Taifa, Deogratius Mahinyila, wilayani Tunduru kulaani tukio la kunyimwa uwanja wa kufanya mkutano Makamu Mwenyekiti wa John Heche.
Amesema hawatutakubali tena polisi watuchagulie eneo la kufanyia mikutano kisha akawataka wananchi...
Mwenyekiti wa Baraza la Vijana la Chama cha Demokrasia na Maendeleo (BAVICHA), Deogratius Mahinyila, amesema kuwa Serikali inapaswa kutambua kwamba vijana wanaoikosoa hawataisha milele. "Watu wanaokupinga huwezi kuwamaliza"
Soma, Pia
Mwenyekiti BAVICHA, Deogratius Mahinyila anatoa tamko muda...
Mwenyekiti wa Baraza la Vijana wa CHADEMA (BAVICHA) Taifa, Wakili Deogratius Mahinyila amesema hatakuwa tayari kuona wananchi wanaonewa kwa mambo mbalimbali kama kutozwa kodi na kukamatwa na polisi 'kiholela' hivyo atapambana ili kujenga kuheshimiana kati ya wananchi na mamlaka.
Mahinyila...
Shangwe la WanaCHADEMA kutoka soko kuu Arusha wakifurahia ushindi wa Wakili Deogratius Mahinyila kuwa Mwenyekiti wa BAVICHA Taifa.
Soma: Uzi maalumu wa matokeo Uchaguzi wa Baraza la Vijana (BAVICHA) na Baraza la Wazee (BAZECHA) CHADEMA Taifa 2025
Wanachama hao katika wakisherehekea ushindi...
14 Januari 2024
Wakili wa Mahakama Kuu achaguliwa kuwa mwenyekiti mpya wa BAVICHA Chadema leo 14.01.25.
Je Wakili msomi Deogratius Mahinyila ni nani ?
Picha maktaba : Deogratius Cosmas Mahinyila
Wakili wa mahakama kuu ya Tanganyika Deogratius Mahinyila leo ametangazwa kuwa mwenyekiti mpya wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.