dayosisi ya karagwe

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Just Pray

    GE2025 KKKT Dayosisi ya Karagwe yatangaza jumapili ya Agosti 31, mitaa yote ifanye maombi kuenzi haki na amani

    TWENDE MAGOTINI KWA NIA NA IMANI Jumapili ya 10 baada ya UTATU, KKKT utafakari juu ya HAKI HUINUA TAIFA, na DHAMBI NI AIBU KWA WATU WOWOTE. Tumo katika juma hilo. Tunaalikwa sote kumlilia Mungu ili tusitenganishe HAKI na AMANI. 1. Kama HAKI huinua Taifa, basi dhuluma huangusha taifa. 2. Ili...
  2. Cute Wife

    PreGE2025 Dayosisi ya Karagwe walaani vikali kuhusu vitisho dhidi ya Askofu Bagonza, wasema wanasimama na Bagonza kuwasemea wasio na sauti ya kujisemea

    Wakuu, Wapanga mipango ni chawa unategemea kutakuwa na ushauri wa maana hapo kwenye jinsi ya kufanya mambo? CCM mnataka kuleta vita watu tuanze kuviziana! ===== YAH: TAMKO LA KKKT DAYOSISI YA KARAGWE KUHUSU VITISHO DHIDI YA MKUU WA DAYOSISI Wapendwa waumini wote, salamuni katika jina la...
Back
Top Bottom