Wakuu,
Wizara ya Afya nchini Kenya imeidhinisha kuanza kutumika kwa dawa ya kuzuia maambukizi ya VVU ijulikanayo kama lenacapavir, ambayo hutolewa mara mbili tu kwa mwaka.
Wizara imesema uamuzi huo umetokana na tathmini ya kina ya kisayansi kuhusu ubora, usalama na ufanisi wa dawa hiyo...
Waziri wa Afya Jenista Mhagama amesema kuwa kutokana na madiliko ya kisera ya Nchi ya Marekani baada ya kuingia madarakaini Serikali mpya ya Rais Trump kuathiri Sekta ya Afya Serikali imefanya Tathimini ya kina ambapo wamepata majibu kuwa Taifa lina dawa za kujitosheleza za kufubaza virusi vya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.