Aliyekuwa Mgombea wa Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama cha Makini, Coaster Jimmy Kibonde ameomba Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi kumpatia Gari ambalo alipewa kama mmoja wa wagombea wa nafasi ya Urais Tanzania kwakuwa amelitendea haki kwa Kufanya kampeni karibu mikoa yote...
Mgombea Urais kupitia Chama cha MAKINI, Coster Jimmy Kibonde, ameahidi kutoa ekari tano kwa kila kijana wa Kitanzania endapo Watanzania watamchagua kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, pamoja na kuboresha maslahi ya wafanyakazi wa umma wakiwemo walimu
Soma pia
GE2025 - Mgombea wa...
“Nikiingia ikulu mtu wa kwanza kumpa ajira ni Mama Samia na nimeshaishawishi Baraza langu kwamba nikishinda Urais Mama Samia atabaki ikulu” Coaster Jimmy Kibonde, Mgombea Urais Chama Makini.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.