Chief Godlove katoa track yenye featuring ya wasanii wakali wa Hiphop Tanzania.
Wimbo unaitwa "GOD HAS SEEN ME" ni moja Kati ya mkwakuju mkali kwa mwaka huu, kafanya featuring na LORD eyez, unju bin unuk, one six, mawenge na stamina.
Humo ndani wasanii wote wamekanyagia ngoma kubwa kilicho...