Sizungushi. Kichwa cha habari kiko wazi. Hivyo, ndiyo itakavyokuwa.
Hivyo, watanganyika wanaotumika na kuuza uhuru na utu wao, waache mara moja.
Mtaachwa na Tanganyika yenu na watu wake kwa vile yeye atatimkia kwao au kwa mabwana zao kule Uarabuni ambako wanatoka wengi wa wachukuaji wetu...
Wakuu
Wakati wengine wanapigania mabadiliko ya mfumo wa uchaguzi (No reforms, No election) lakini kuna hawa Chawa Pro Max wa Samia ambao wanatumia namba plate kumpigia debe Rais Samia kuelekea uchaguzi Mkuu wa Oktoba 2025.
Kwa hali hii hata wakivunja sheria za barabarani unadhani Polisi...
Baada ya Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA, Ndug John Heche kueleza jana kuwa CHADEMA wanaenda kuweka ushahidi na kuuelezea Umma namna taifa hili linavyoibiwa kupitia miradi mbalimbali ikiwemo tenda za ununuzi za mradi wa SGR, chawa wa Samia na CCM amejitokeza kumtisha Heche eti atakamatwa na...
Balozi wa mazingira na mhamasishaji ndugu Michael Msechu amewatembelea wavuvi na mabaharia katika bandari ya Pangani ambapo Rais Samia anatarajiwa kukabidhi boti 80 kwa vijana moja ya kumbukumbu kubwa na hitaji kubwa kwa vijana wa Pangani.
Wakuu,
Kwenye hii challenge walitakiwa kusema Rais Samia kazailiwa lini. Pale ambako hata yule wanayemuita mjumbe maalum wa Ikulu kachemka, ila wanasema mama kafanya, kile, na hiki.
Ni kwasababu wapo kama kaseti, wananywesha takataka wanazimeza kama zilivyo na kazi yao ni kutema tu. Ukiuliza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.