Chama cha Demokrasia na Maendeleo kimelaani Shambulio la kupangwa dhidi ya Katibu wa TEC Father Charles Kitima lililokusudia kutoa Uhai wake.
Taarifa ya Chama hicho iliyosambazwa kote Duniani hili hapa
Soma pia News Alert: - Padri Kitima ashambuliwa na watu wasiojulikana. Inadaiwa hali yake...