Muandaaji wa shindano la Miss Tanzania aliyewahi kuwa Miss Tanzania mwaka 1998 amelalamikia Wizara ya Afya kukosa weledi kwa kutopeleka chanjo mahospitalini huku ikisemekana ni kutokana na Kampeni zinazoendelea ambapo bajeti kubwa imeelekezwa huko. Basila Mwanukuzi mwaka 2021-2023 alihudumu kama...
Baada ya Trump kusitisha misaada yote ya Marekani kwa kila kitu na kote duniani bila shaka kundi mojawapo la watu ambao watakuwa wamefurahia ni wale wajinga ambao hupinga matumizi ya chanjo(anti-vaxxers), ARVs na Condom.
Hata hivyo ni vyema watu hao wasifurahi sana hadi kupitiliza kwa sababu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.