chanjo za watoto

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Mhaya

    Basila Mwanukuzi mratibu wa Shindano la Miss Tanzania alalamika ukosefu wa Chanjo za watoto Hospitalini

    Muandaaji wa shindano la Miss Tanzania aliyewahi kuwa Miss Tanzania mwaka 1998 amelalamikia Wizara ya Afya kukosa weledi kwa kutopeleka chanjo mahospitalini huku ikisemekana ni kutokana na Kampeni zinazoendelea ambapo bajeti kubwa imeelekezwa huko. Basila Mwanukuzi mwaka 2021-2023 alihudumu kama...
  2. Yoda

    Wapinga Chanjo, ARVs na Condom msichekelee sana amri ya Trump kusitisha misaada

    Baada ya Trump kusitisha misaada yote ya Marekani kwa kila kitu na kote duniani bila shaka kundi mojawapo la watu ambao watakuwa wamefurahia ni wale wajinga ambao hupinga matumizi ya chanjo(anti-vaxxers), ARVs na Condom. Hata hivyo ni vyema watu hao wasifurahi sana hadi kupitiliza kwa sababu...
Back
Top Bottom