chama makini

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. R

    PostGE2025 Aliyekuwa Mgombea urais Chama Makini, Coaster Jimmy Kibonde aomba gari alilopewa na Tume

    Aliyekuwa Mgombea wa Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama cha Makini, Coaster Jimmy Kibonde ameomba Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi kumpatia Gari ambalo alipewa kama mmoja wa wagombea wa nafasi ya Urais Tanzania kwakuwa amelitendea haki kwa Kufanya kampeni karibu mikoa yote...
  2. Idugunde

    GE2025 Chama makini kinachojali wananchi kisingetumka gharama kubwa namna kwenye Uchaguzi usio na upinzani

    Maendeleo ya Tanzania bado ni duni sana. Shule nyingi vijijini zimechoka hazina vyoo, madarasa,. Zahanati nyingi vijijini zimechoka. Alafu mgombea wa Chama tawala anazunguka na wasanii, mabasi 200, wafuasi na chawa wa chama zaidi ya 10000 kwa gharama kubwa. Kwa nini hizo pesa zisitumike kwa...
  3. Mkalukungone Mwamba

    GE2025 Chama Makini waahidi kutoa bodaboda milioni 1 kwa vijana endapo watashika dola

    Katibu Mkuu wa Chama cha Maarifa, Kilimo na Nishati (Makini), Ameir Hassan Ameir, amesema endapo wananchi watamchagua mgombea wa urais wa chama hicho, Coaster Kibonde, serikali yao itatoa bodaboda zaidi ya milioni moja ili kuwapatia ajira vijana. Hayo yalielezwa jana wakati wa uzinduzi wa...
  4. Mkalukungone Mwamba

    GE2025 Chama Makini tutatoa posho kwa wazee kila mwezi laki moja

    Katibu Mkuu wa Chama cha Maarifa, Kilimo na Nishati (Makini), Ameir Hassan Ameir, amesema endapo wananchi watamchagua mgombea wa urais wa chama hicho, Coaster Kibonde, serikali yao itatoa laki moja kila mwezi kwa wazee wote wa Tanzania Hayo yalielezwa jana wakati wa uzinduzi wa kampeni za chama...
  5. Mkalukungone Mwamba

    GE2025 Kibonde: Mkituchagua chama Makini tutajenga hospitali kila kata na kuweka vifaa tiba

    Mkituchagua chama Makini katika uchgazi mkuu 2025 tutajenga hospitali za kata nchi nzima na kuweka vifaa tiba pamoja na wauguzi, madakitari ili kuwez kuwahudumia watanzania ambapo serikali itagharamia kuwapeleka vijana kwenye vyuo vya nje ya nchi kupata elimu ya afya ili kuja kutoa huduma katika...
  6. Mkalukungone Mwamba

    GE2025 Kibonde: Chama Makini tutatoa ajira mpya kwa vijana zaidi ya Milioni 1

    Mgombea urais kupitia Chama cha MAKINI, Ndg. Coaster Kibonde, amesema endapo atapata ridhaa ya kuongoza nchi serikali itaanzisha na kutoa ajia mpya zaidi ya milioni moja kwa vijana wa Kitanzania, nakuwataka vijana kuwapigia kura Oktoba 29, 2025.
Back
Top Bottom