chama cha wakulima

Alliance for Tanzania Farmers Party (AFP) is a political party in Tanzania.

View More On Wikipedia.org
  1. PAYE

    GE2025 Mgombea urais wa AAFP, Kunje Ngombale Mwiru aahidi kujenga kiwanda cha saruji Mwanza

    Mgombea urais kwa tiketi ya Chama cha Wakulima (AAFP), Kunje Ngombale Mwiru, amesema endapo atapewa ridhaa ya kuongoza serikali, atahakikisha anajenga kiwanda cha saruji mkoani Mwanza ili kupunguza gharama za ujenzi. Akizungumza kwenye mkutano wa kampeni wilayani Misungwi, Kunje alibainisha...
  2. PAYE

    GE2025 Chama cha Wakulima(AAFP) kufanya uzinduzi rasmi wa kampeni za uchaguzi mkuu Agosti 31, 2025, Kisaki Morogoro

    Chama cha Wakulima(AAFP) kinatarajia kufanya uzinduzi rasmi wa kampeni zake za uchaguzi mkuu mwaka huu siku ya Agosti 31 Kwamujibu wa taarifa iliyotolewa na mgombea Urais kwa tiketi ya chama hicho Kunje Ngombale Mwiru ni kuwa uzinduzi huo unatarajiwa kufanyikia katika kijiji cha Kisaki Mvomero...
  3. MamaSamia2025

    GE2025 Huyu mgombea urais kwa tiketi ya chama cha wakulima ana hoja nzito ya uzalendo itakayompa kura nyingi

    CCM tusimchukulie poa huyu mgombea urais wa chama cha wakulima. Ana hoja nzito ya uzalendo inayoweza kusababisha akapata kura nyingi na kutikisa ushindi wa kishindo wa mgombea wetu Mama Samia Suluhu. Huenda akawa nafasi ya pili..
  4. R

    Nauza mbolea ya kukù

    Jamani Wana JM.na wakulima woote. Mm kijana mwenzenu nauza mbolea ya kuku, IPO NYINGI sana Yani NYINGI sana. Ɓei yake ni 1000 lakini ukija na kiroba chako napunguza bei. Napatikana mbezi Luis (Makabe) karibuni sana...
  5. Kabende Msakila

    Umoja wa Wakulima nchini - hongera sana kwa Jeshi la Polisi kwa ulinzi na udhibiti wa viashiria vya hatari nchini

    Tanzania ni kisiwa cha AMANI NA UTULIVU duniani. Tukiharibikiwa hatuna pa kukimbilia - majirani zetu wote wako ktk maisha ya mshikaki. Wakati baadhi ya viongozi wa CHADEMA wakitangaza mfululizo habari za kuwepo maandamano kila mkulima nchini alipata wasiwasi juu ya matokeo ya maandamano iwapo...
Back
Top Bottom