chadema taifa

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Tlaatlaah

    Tetesi: Ukata wa fedha na ugumu wa maisha watesa viongozi wa CHADEMA Taifa

    Hali ya maisha ya viongozi wa kuu wa chadema taifa ni mbaya, inatia huruma na kusikitisha sana. Ni kama vile wametelekezwa, wanapitia maisha magumu na ya fedhea sana kutokana na ukata wa fedha unaokikumba chama hicho kwa sasa. Ikumbukwe kwamba wengi wa viongozi wa kitaifa wa chadema hawana...
  2. Tlaatlaah

    Unadhani ni kwanini John Heche hasikilizwi wala haheshimiwi kama makamu na kaimu mwenyekiti wa CHADEMA Taifa, pale CHADEMA masalia?

    Ni kwasababu ya jinsi anavyo onekana? Ni kwasababau ya matamko nonsense na uropokaji useless? Au ni kwasababu za hali yake ya kiuchumi? Wafuasi wa Chadema masalia wanamchukuliaje huyu muungwana ambae ni adict wa kubeti? Mungu Ibariki Tanzania
  3. Tlaatlaah

    Kutuliza mzimu wa migawanyiko napendekeza makao makuu ya CHADEMA taifa yahamishiwe Zanzibar

    Hii italeta utulivu na usawa ndani ya chadema na kuondoa dhana ya chuki, dhihaka na ubaguzi dhidi ya viongozi wa kutoka Zanzibar na dhana ya kuitenga Zanzibar katika masuala mbalalimbali ikiwa ni pamoja na masuala ya mgawanyo wa rasilimali za chama hicho. Zaidi sana, makao makuu ya chadema kua...
  4. Tlaatlaah

    Huenda kampeni ya kidigitali ya CHADEMA kuchangia pesa kwa mtindo wa tone tone ya imesitishwa au imesimama

    Kwasababu hakuna updates tena kama ilivyoarifiwa mapema na wahamasishaji wakati inaanza, kwamba walau kila baada ya wiki moja kutatolewa mrejesho wa maendeleo ya uchangiaji unavyokwenda. Wadau wangependa kufahamu, tangu itangazwe kupatikana milion64, na kuibuka changamoto ya eti fedha zilikua...
  5. Tlaatlaah

    Agenda ya no reform no elections ndio hasa chanzo cha wafanyabiashara wafadhili wa siasa nchini kuikacha CHADEMA na kuelekeza uwekezaji wao CHAUMMA

    Agenda hiyo isiyo na faida imewakimbiza wafadhili wa kiuchumi chadema na imewakimbiza wanachadema physically na kuwademoralize kisiasa kwa kiwango kibaya sana. Kwasababu, wametathimini kwa kina sana kwamba, chadema haishiriki uchaguzi mkuu wa october mwaka huu 2025, na wala haina sifa na vigezo...
  6. Tlaatlaah

    Athari za kuto shaurika na kuto ambilika kwa viongozi CHADEMA taifa zinawatesa kisakolojia

    Na sasa imekua ni desturi ya chadema, ni mwendo wa matamko tu. Yaani kiongozi wa chadema akikerwa na jambo lolote tu kibinafsi, anatoa tamko na kwamba huo ndio msimamo wa chadema Taifa.🤣 Nadhani panahitajika counciling clinic kwa viongozi waandamizi wa chadema kabla mambo hayajaharibika zaidi...
  7. Tlaatlaah

    Je, ndani ya kamati kuu ya CHADEMA taifa kuna usaliti, uasi au hujuma dhidi ya Tundu Lissu anaesota korokoroni pekee?

    Kwasababu my friends ladies and gentlemen let's face it, Ukitazama kwa makini mienendo ya viongozi waandamizi wa kamati kuu ya chadema Taifa, ukisoma kwa makini body languages zao, facial expressions na hata ukiskiza tones za baadhi ya viongozi waandamizi wa kamati kuu ya chadema Taifa...
  8. Tlaatlaah

    Je, uongozi mpya wa CHADEMA ukiacha kuropoka na CHADEMA wakiacha kuporomosha matuasi, uko tayari kuwapongeza kuacha tabia hizo zisizo na ustaarabu?

    Wanaojiengua kutoka chadema kwa wakati huu, Wanadai uongozi mpya wa chadema taifa umepoteza uelekeo na badala yake umekua ukiongozwa kwa matamko yasiyotokana na vikao vya chama na badala yake kila kiongozi wa chadema huropoka kadiri anavyoona inafaa, huku uropokaji huo ukisindikizwa na...
  9. Tlaatlaah

    PreGE2025 Ni wakati muafaka sasa kwa G55 kushika hatamu ya uongozi CHADEMA baada ya Lissu kupoteza uelekeo na kukamatwa

    Kwasababu uongozi wa Lisu hakubaliki kwa wanachadema na agenda zake za kuwatenga wanachadema na michakato ya kidemokrasia, zinapingwa na wanachadema wengi kuelekea uchaguzi mkuu wa October. Na ndio maana unaona amekamatwa na polisi na hakuna mwanachadema anaeshtuka, anaesikitika wala kubabaika...
  10. sonofobia

    PreGE2025 John Mrema alaani vikali kiongozi wa Chadema taifa kupigwa na mlinzi wa Heche

    Nimesikitishwa na taarifa hii ya Chama ,pamoja na kutolewa kwa kuchelewa sana ,masikitio yangu yanatokana na mambo yafuatayo; 1. Chama hakikuona haja ya kulaani tukio la kiongozi wa wanawake taifa kupigwa na kuumizwa ,kipigo kilichotolewa na Mwanaume,bali kinasema ni taarifa zinazosambazwa...
Back
Top Bottom