Hali ya maisha ya viongozi wa kuu wa chadema taifa ni mbaya, inatia huruma na kusikitisha sana. Ni kama vile wametelekezwa, wanapitia maisha magumu na ya fedhea sana kutokana na ukata wa fedha unaokikumba chama hicho kwa sasa.
Ikumbukwe kwamba wengi wa viongozi wa kitaifa wa chadema hawana...
Ni kwasababu ya jinsi anavyo onekana?
Ni kwasababau ya matamko nonsense na uropokaji useless?
Au ni kwasababu za hali yake ya kiuchumi?
Wafuasi wa Chadema masalia wanamchukuliaje huyu muungwana ambae ni adict wa kubeti?
Mungu Ibariki Tanzania
Hii italeta utulivu na usawa ndani ya chadema na kuondoa dhana ya chuki, dhihaka na ubaguzi dhidi ya viongozi wa kutoka Zanzibar na dhana ya kuitenga Zanzibar katika masuala mbalalimbali ikiwa ni pamoja na masuala ya mgawanyo wa rasilimali za chama hicho.
Zaidi sana,
makao makuu ya chadema kua...
Kwasababu hakuna updates tena kama ilivyoarifiwa mapema na wahamasishaji wakati inaanza, kwamba walau kila baada ya wiki moja kutatolewa mrejesho wa maendeleo ya uchangiaji unavyokwenda.
Wadau wangependa kufahamu,
tangu itangazwe kupatikana milion64, na kuibuka changamoto ya eti fedha zilikua...
Agenda hiyo isiyo na faida imewakimbiza wafadhili wa kiuchumi chadema na imewakimbiza wanachadema physically na kuwademoralize kisiasa kwa kiwango kibaya sana.
Kwasababu, wametathimini kwa kina sana kwamba, chadema haishiriki uchaguzi mkuu wa october mwaka huu 2025, na wala haina sifa na vigezo...
Na sasa imekua ni desturi ya chadema, ni mwendo wa matamko tu. Yaani kiongozi wa chadema akikerwa na jambo lolote tu kibinafsi, anatoa tamko na kwamba huo ndio msimamo wa chadema Taifa.🤣
Nadhani panahitajika counciling clinic kwa viongozi waandamizi wa chadema kabla mambo hayajaharibika zaidi...
Kwasababu my friends ladies and gentlemen let's face it,
Ukitazama kwa makini mienendo ya viongozi waandamizi wa kamati kuu ya chadema Taifa, ukisoma kwa makini body languages zao, facial expressions na hata ukiskiza tones za baadhi ya viongozi waandamizi wa kamati kuu ya chadema Taifa...
Wanaojiengua kutoka chadema kwa wakati huu,
Wanadai uongozi mpya wa chadema taifa umepoteza uelekeo na badala yake umekua ukiongozwa kwa matamko yasiyotokana na vikao vya chama na badala yake kila kiongozi wa chadema huropoka kadiri anavyoona inafaa, huku uropokaji huo ukisindikizwa na...
Kwasababu uongozi wa Lisu hakubaliki kwa wanachadema na agenda zake za kuwatenga wanachadema na michakato ya kidemokrasia, zinapingwa na wanachadema wengi kuelekea uchaguzi mkuu wa October.
Na ndio maana unaona amekamatwa na polisi na hakuna mwanachadema anaeshtuka, anaesikitika wala kubabaika...
Nimesikitishwa na taarifa hii ya Chama ,pamoja na kutolewa kwa kuchelewa sana ,masikitio yangu yanatokana na mambo yafuatayo;
1. Chama hakikuona haja ya kulaani tukio la kiongozi wa wanawake taifa kupigwa na kuumizwa ,kipigo kilichotolewa na Mwanaume,bali kinasema ni taarifa zinazosambazwa...
aliyekuwa
chademachademataifa
chama
heche
itifaki
john
john heche
john mrema
kiongozi
kuhusu
kupigwa
mambo
mambo ya nje
masikitiko
mawasiliano
mkurugenzi
mlinzi
mrema
nje
taarifa
taifa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.