cdm

The Lambda-CDM, Lambda cold dark matter, or ΛCDM model is a mathematical model of the Big Bang theory with three major components:

a cosmological constant, denoted by lambda (Λ), associated with dark energy;
the postulated cold dark matter, denoted by CDM;
ordinary matter.
It is the current standard model of Big Bang cosmology, as it is the simplest model that provides a reasonably good account of:

the existence and structure of the cosmic microwave background;
the large-scale structure in the distribution of galaxies;
the observed abundances of hydrogen (including deuterium), helium, and lithium;
the accelerating expansion of the universe observed in the light from distant galaxies and supernovae.
The model assumes that general relativity is the correct theory of gravity on cosmological scales. It emerged in the late 1990s as a concordance cosmology, after a period when disparate observed properties of the universe appeared mutually inconsistent, and there was no consensus on the makeup of the energy density of the universe.
The ΛCDM model has been successful in modeling a broad collection of astronomical observations over decades. Remaining issues challenge the assumptions of the ΛCDM model and have led to many alternative models.

View More On Wikipedia.org
  1. Tlaatlaah

    Hivi wale vijana wa CHADEMA waliofanywa mamluki wa vibaraka wa mabwenyenye ya magharibi na kuhifadhiwa nchi jirani bado wapo?

    Au kwasasa wameishiwa ubunifu wa porojo, uongo na uzushi mpya dhidi ya taifa lao kwa manufaa na hisani ya mabwana zao waliokua wakiwatumikisha? Na ile ahadi ya kutafutiwa kazi ubiligiji wametimiziwa? Umaskini wa kifikra na unyonge wa kiuchumi unaweza kupelekea vijana wengi wa chadema kufanywa...
  2. Carlos The Jackal

    Mwambieni Msajili aifute haraka CHADEMA au Mahakama iwafunge viongozi wake. Wampe chama Mbowe, Wakae wafurahie amani yao wanayoiimba

    Si mnajitoa ufahamu? Mnaangushia Jumba bovu CHADEMA. kifuteni haraka, wafungeni CHADEMA ,Mpenzi Mbowe chama Kwa lazima. Alafu sasa Mtulie mfurahie hiyo Amani ya Matumbo na familia zenu. Mnazidisha sana Hasira za Wananchi , DEC 9 mtaelewa tu mbona Ugaidi ni nini na Uhaini ni nini ...
  3. Robert Heriel Mtibeli

    Uhuru wa wengine ni uhuru wetu. Tukinyamaza hata humu JF ipo siku. Ndio Maana Watibeli tunahangaika. Walianza CDM wameingia CCM. Who's next.

    Habari za Sabato! Mbinu rahisi ya kuwafanya watu watumwa ni kuwafanya waone Uhuru wa wengine hauwahusu. Kuona kuonewa kwa wengine ni juu yao, ilimradi wao wapo salama basi, wengine wakionewa haiwahusu. Hiyo inaitwa Divide and Rule technique. Hakuna jamii rahisi kuitawala na kuifanya watumwa...
  4. funaku

    Kesi ya mgawanyo wa mali uongozi wa CDM wakwaa kisiki tena

    Ombi la uongozi wa Chadema kutaka kuendelea kutumia mali za chama zenye mgogoro limegonga mwamba na kutupiliwa mbali.
  5. funaku

    Orodha ya Maadui wa CDM

    Mbowe KIGAILA MWALIMU CHAUMMA ZITTO SPIKA JAJI MKUU MAHAKAMA YANGA ENG HERSI ALI KAMWE Kwa ufupi kila mtu ni mbaya kwao.hii ni dalili ya kuchanganyikiwa kitaalamu inaitwa paranoia yaani ukichaa unaoogopa hadi ndugu au mwenza wako. Ongeza orodha
  6. K

    Mna uhakika Boni Yai bado ni CHADEMA?

    Habari Wakuu, jamaa amekua kimya na alikuwa mtu wa Mbowe kindakindaki kipindi cha uchaguzi mkuu wa CHADEMA. Amekua kimya sana na hili vuguvugu la CHAUMMA anaweza kua ametema bungo kamfata Mwamba kiazi. Yote yanawezekana maana kumwamini mwanisiasa imekua ngumu sana.
Back
Top Bottom