Catering is the business of providing food services at a remote site or a site such as a hotel, hospital, pub, aircraft, cruise ship, park, festival, filming location or film studio.
Hello bosses and roses...
Je ni wapi au nani anatoa huduma nzuri ya corporate/office food catering kwa hapa dar? Location around Ubungo, Kimara na Tabata.
Pia hata kama una hoteli yako na upo maeneo hayo pia unatengeneza chakula grade nzuri unaweza nicheki tuka-negotiate
Usijichanganye kuanzisha biashara ya Catering kichwa kichwa. Wadau wanakupiga zongo bab'kubwa ama Chakula kinachacha ukumbini au hakiivi kabisa. Unapoteza wateja ukijiona. Imetokea mara kadhaa Chakula kinachacha saa ya kupakua mezani
Huduma ya catering service ni miongoni mwa biashara zinazokua kwa kasi kutokana na ongezeko la sherehe, semina, mikutano, harusi, na matukio mbalimbali. Hata hivyo, changamoto kubwa kwa wengi ni jinsi ya kuanza na kutengeneza mpangilio bora wa huduma zao.
🙋♂ Mbinu rahisi za kuanza ni pamoja...
🤔 Swali hili ni la kawaida sana miongoni mwa wengi wanaotamani kuingia katika sekta ya huduma za chakula. Jibu ni la kuvutia na la kushangaza kwa wakati mmoja.
🙆♂️ Ukweli ni kwamba: Biashara ya catering si rahisi kama unavyodhani, hasa ikiwa huna uzoefu wa kupika kwa wingi. Lakini hii...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.