KAMATI YA BUNGE YARIDHIKA NA MAENDELEO MRADI WA MEMBE
Yamuomba Rais Kuongeza Utoaji wa Fedha Miradi ya Umwagiliaji
Dodoma. Kamati ya Kudumu ya Bunge, Viwanda, Biashara, Kilimo na Mifugo, imeridhishwa na maendeleo ya utekelezaji mradi wa Bwawa la Umwagiliaji Membe.
Bwawa hilo ambalo linajengwa...
Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali imeridhishwa na utekelezaji wa ujenzi mradi wa bwawa la Umwagiliaji Membe lililopo wilayani Chamwino mkoani Dodoma.
Kamati hiyo imesema, ujenzi wa bwawa umeendana na thamani ya fedha iliyowekwa.
Pia soma: Miradi kuelekea Uchaguzi Mkuu: Mhandisi...
Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali imeridhishwa na utekelezaji wa ujenzi mradi wa bwawa la Umwagiliaji Membe lililopo wilayani Chamwino mkoani Dodoma.
Kamati hiyo imesema, ujenzi wa bwawa umeendana na thamani ya fedha iliyowekwa.
Akizungumza wakati wa ziara ya kamati hiyo katika...
Kamati ya siasa ya CCM wilaya ya Tabora imeeleza kutoridhishwa na matumizi ya shilingi milioni 600 kwa mradi wa bwawa la umwagiliaji la Iyombo, ambapo mkandarasi ameishia kujenga tuta pekee.
Tume ya Umwagiliaji imetaja sababu za kuchelewa kuwa ni kasi ndogo na ukosefu wa vifaa. Kamati...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.