buluba mabelele

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. R

    GE2025 Mabelele: CHADEMA ilipowafukuza Wabunge 19, Msajili alichukua Maamuzi gani? Mpina arudishwe kwenye Kinyanganyiro, yanayoendelea ni kuchafua CCM

    Akizungumza katika kipindi cha Medani za Siasa kada wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Buluba Mabelele amezungumzia utendaji wa haki kati ya Msajili wa Vyama vya Siasa na yanayoendelea katika vyama vya siasa nchini akisisitiza Tume huru ya Uchaguzi (INEC) kumrejesha Mgombea Urais kupitia Chama cha...
  2. JanguKamaJangu

    Buluba Mabelele: Kuikosoa Serikali ni muhimu, inasaidia Viongozi kufanya vizuri, Vijana wengi wamekuwa Chawa

    “Kwa sasa CCM hai recruit Vijana wake kama zamani, vijana wameufanya uchawa kuwa kazi rasmi, taifa letu limejaa ubinafsi na unafiki wa hali ya juu sana, kuikosoa Serikali ni muhimu sana kwani inasaidia viongozi wetu kufanya vizuri zaidi” Buluba Mabelele - Mjumbe wa Mkutano Mkuu - CCM TAIFA...
Back
Top Bottom