bodi ya ligi

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Simba msikubali hizi faini mnazopigwa na bodi ya ligi, wanaibeba timu masikini halafu pesa wanachukua kwenu

    Hapo vip! Ukitazama kwa jicho latatu unaona kabisa hizi faini wanazopigwa Simba sio haki,ila nikwasababu wanajua club ya Simba inapesa hivyo wanatengeza faini za kijanja ili hiyo bodi inayongozwa na viongozi maskini wapate mkate wa chai. Ni wazi bodi inaibeba Yanga katika vitu vingi ila Simba...
  2. Klabu ya Simba huwenda ikasusia mechi ya Dabi, waiandikia barua Bodi ya Ligi kisa mechi kupelekwa Zanzibar

    Wakuu Hawa Simba tuwenao karibu, wasije wakagoma bure kuvuka maji. Mr. Reporter amedai tayari wameandika barua ya kutafutia sababu zao baadaye. = Uongozi wa Simba SC umeiandikia barua Bodi ya Ligi (TPLB) kutaka kujua kwanini taarifa ya kuhamisha uwanja kutoka Benjamin Mkapa kwenda Amaan...
  3. TFF Yatangaza Uchaguzi Mkuu wa Bodi ya Ligi Kuu Tanzania (TPLB) Novemba 29, 2025

    Kamati ya Uchaguzi ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) imetangaza kuwa Uchaguzi Mkuu wa Bodi ya Ligi Kuu Tanzania (TPLB) utafanyika Novemba 29, 2025, jijini Dar es Salaam. Nafasi zinazogombewa ni pamoja na: Mwenyekiti mmoja, Makamu Mwenyekiti mmoja, wajumbe watatu kutoka Klabu za...
  4. DOKEZO Responded Mwenye taarifa ni lini bodi ya ligi na TFF watatoa tuzo za msimu wa 2024/2025

    Kwa kawaida, Bodi ya Ligi na Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) wamekuwa wakitoa tuzo za msimu mara baada ya ligi kumalizika, lakini safari hii mambo yamekuwa kimya. Mashabiki na wadau wengi wanahoji ni lini hafla hiyo muhimu itafanyika kwa msimu wa 2024/2025.
  5. Rasmi TFF na bodi ya ligi kila mtu afanye majukumu yake Yanga imewanyoosha

    Rasmi Naomba muelewe mambo ya kutuana vidole vya macho ooh karia kaipendelea timu fulan naomba niwajulishe tumefanya mabadiliko na sasa rasmi Bodi ya ligi itajitegemea na sisi tutasimamia kanuni -rais wa TFF Yanga waliqashauri hili ukaleta mzaa mh raisi tena ukaitisha na press anaetakka...
  6. TFF Na Bodi ya Ligi hili limepita msimu ujao fanyeni ligi kuwa bora na yenye heshima

    Kutokana na mapungufu mengi ambayo yalitokana na Waamuzi, Bodi ya ligi na kamati zake,basi TFF unapewa lawama kubwa sana kealuyafumbia macho hasa kama msimamizi wa mpira nchini. Kwa musimu ujao fuateni kanuni rekebisha kasoro zote zilizojitokeza ili ligi yetu iwe ligi bora Barani Afrika...
  7. Nassor Idrissa ‘Father’ kukaimu nafasi ya Mwenyekiti wa TPLB Steven Mnguto

    BODI ya Ligi ya Tanzania (TPLB) imemteua Mwenyekiti wa klabu ya Azam FC, Nassor Idrissa ‘Father’ kukaimu nafasi ya Mwenyekiti wa TPLB ambayo imekuwa wazi kufuatia kujiuzulu kwa aliyekuwa Mwenyekiti Steven Mnguto mnamo Juni 13, 2025. Aidha nafasi ya Mtendaji Mkuu iliyoachwa wazi kufuatia...
  8. F

    Mashabiki wa Simba hawajaumia mechi ya tarehe 15 kusogezwa mbele. Wameumia kuondolewa kazini viongozi wa bodi ya ligi

    Huo ndio ukweli mchungu
  9. Steven Mguto amewasilisha barua ya kujiuzulu. Kwa upande mwingine Rais wa TFF amemsimamisha kazi CEO Almasi Kasongo

    Taarifa Kutoka Shirikisho la mpira wa miguu TFF imeeleza kuwa mwenyekiti wa Bodi ya ligi Steven Mnguto amewasilisha barua ya kujiuzulu nafasi yake. Aidha Kwa upande mwingine Rais wa TFF Wallace Karia amemsimamisha kazi Ofisa mtendaji wa Bodi ya ligi TPLB, Almas Kasongo.
  10. KMC complex kama Ulaya, waleta Gari la kisasa la kubebea wachezaji majeruhi uwanjani

    KMC COMPLEX hivi sasa Kuna gari la kisasa la kubebea wachezaji majeruhi uwanjani wanapokuwa wameumia wakati wa mechi.
  11. Karim Boimanda: Kuna baadhi ya taarifa muhimu na nyeti zitatolewa muda wowote kuanzia sasa

    Kuna baadhi ya taarifa muhimu na nyeti zitatolewa muda wowote kuanzia sasa” Bodi ya Ligi imesema inaendelea vizuri na maandalizi ya mchezo wa Kariakoo Derby kati ay Yanga vs Simba uliopangwa kupigwa Juni 15, 2025. Huyu hapa afisa habari wa bodi hiyo, Karim Boimanda ambaye ametoa uhakika pia...
  12. Tetesi: Afisa habari na mawasilino wa Yanga Ally Shaban Kamwe,apelekwa kamati ya maadili ya TFF Kwa mara nyingine

    Taarifa zinaeleza kuwa Ally Shaban Kamwe atapelekwa katika kamati ya maadili ya TFF kutokana na kauli zake za hivi karibuni dhidi ya mamlaka za mpira. Soma Pia: Ali Kamwe apelekwa Kamati ya Maadili ya TFF, anatuhumiwa kwa uchonganishi na kuchafua taswira ya mpira Kamwe akipelekwa itakuwa mara...
  13. Simbs Sc: Mechi nambari 184 dhidi ya Yanga ipo pale pale

    klabu ya simba imesisitiza kuwa siku ya jumapili ya tarehe ya 15 mwezi june watapeleka timu uwanjani.
  14. Yanga msikilizeni huyu, mchambuzi asema Tsh. Millioni 250 hazijapigwa

    Zile milioni 250 sio za ushindi wa kombe la CRDB ila ni pesa za kuendeshea mashindano, kinachoaminishwa kwa watu ni uongo na si uhalisia. source:Tv3
  15. Ahmed Ally: Mpango wa Yanga kushinikiza Viongozi kujiuzulu ni mpango wa makusudi

    Wakuu! Imebaki siku moja kabla ya dabi ya kariakoo hakun tiketi zilizouzwa mashabiki wanaingiaje kwa mkapa? === "Mpango wa Nyuma Mwiko kushinikiza Katibu Mkuu wa TFF na Mtendaji wa Bodi ya Ligi wajiuzulu ni mpango wa makusudi wa kutaka kuweka watendaji wapya katika taasisi hizo watakaolinda...
  16. M

    Viongozi na mashabiki wa Simba, yanayoendelea baina ya Bodi ya Ligi na Yanga ni geresha toto tu, Yanga wataingiza timu Jumapili na tutashangazwa

    Kwa uelewa wangu wa mambo ya soka, na kwa kufuatilia mienendo ya majibu ya viongozi wa yanga kwa nyakati mbalimbali, na jana wamekataa kwenda TFF kujadiliana kuhusu madeni ni dhahiri kabisa kuwa ile ni geresha toto, mpango wao waendelee hivi hivi kuwachanganya watanzania ili simba wabweteke...
  17. Hi ni Aibu Kwamba Timu Zinachezeshwa Mashindano ya CRDB Confederation Cup Bila Kujua Zawadi za Mshindi, Tanganyika Nchi ya Ajabu!

    Katika hali ya kushangaza na ya kusikitisha, imekuwa kawaida sasa kwa timu mbalimbali kushiriki mashindano makubwa bila kujulishwa wazi zawadi au motisha wanazotarajiwa kupewa iwapo zitashinda. Hii siyo tu inakatisha tamaa, bali pia ni aibu kwa taifa kama Tanganyika, lenye historia ndefu ya...
  18. W

    Naona bodi ya ligi kuu ikienda kuhairisha dabi ya tarehe 15 kwa mara ya pili tena masaa machache kabla ya mchezo

    Naona bodi ya ligi kuu ikienda kuhairisha dabi ya tarehe 15 kwa mara ya pili tena masaa machache kabla ya mchezo
  19. C

    Kama bodi ya ligi wanaficha jina la kiingozi aliyepiga simu kuzuia Simba wasifunguliwe geti,basi hawafai kuwepo kazini

    Kama kuna ujinga wa kiwango cha juu,ni pale unapolazimika kubeba madhambi ya mtu mmoja ambaye ametumia nafasi yake kufanya uhuni kwenye soka ambalo watu wamewekeza mabilioni ya kutosha. Unaacha kumtaja ili ulinde hadhi yako wakati yeye yupo na anaendelea kuwasapoti wanaosema hatuchezi!Huu ni...
  20. Wanasiasa ndo wenye msemo wa mwisho,,, Injinia na Arafat wanawaza Ubunge huku watu wanasema hatuchezi

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…