Kamati ya Uchaguzi ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) imetangaza kuwa Uchaguzi Mkuu wa Bodi ya Ligi Kuu Tanzania (TPLB) utafanyika Novemba 29, 2025, jijini Dar es Salaam.
Nafasi zinazogombewa ni pamoja na: Mwenyekiti mmoja, Makamu Mwenyekiti mmoja, wajumbe watatu kutoka Klabu za...