Wataalamu wa fasihi najua sitakua mgeni kwenu mimi bawabu wa pili niliekuwa nasimama geti la ua wa ndani wa Bi kilembwe.
Sasa hivi Tanzania kiongozi huruhusiwi kuziona changamoto za wananchi kama Bi. Kilembwe hajaziona, wananchi wanaweza wakawa wanakufa mbele yako lakini kama Bi. Kilembwe...
Jamuhuri ya watu wa Giningi inasemekana ilianguka bahada ya Bibi Kilembwe kuingia madarakani, inasemekana mara bahada ya Bibi Kilembwe kuikamata ikulu ya Giningi ndipo alipofungua kucha zake mwanzo watu walikua na matumaini makubwa sana na huyu bibi.
Bibi Kilembwe alianza kwa kuwalisha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.