biashara ya simu

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. youngkato

    JamiiForums Tanzania Mambo Muhimu ya Kuzingatia Unapoanzisha Biashara ya Uuzaji wa Simu na Accessories

    Biashara ya simu inaweza kukuingizia faida nzuri, lakini simu moja bandia, bidhaa isiyo na ubora au eneo lisilo sahihi linaweza kuharibu uaminifu wa wateja na mtaji wako kwa muda mfupi. Mahitaji ya simu, chaja, earphones, cover, screen protector na vifaa vingine vya simu yanaendelea kuwepo kwa...
  2. Y

    JamiiForums Tanzania Ndoto yangu ni kumiliki biashara ya simu baada ya kuuza mpunga wangu

    Wadau naomba msaada namna bora ya kuanza biashara hii, nianze na bidhaa gani maana simu na assessories ndo ndoto kubwa, Ombi langu kwa wazoefu ,ni kupata taarifa kuhusu bidhaa ipi itapush ndoto zangu kwa speed ili niweze kuzifikia ndoto mapema. Tathmin yangu ni kuanza na mtaji mdogo wa million...
  3. Barakha John

    JamiiForums Tanzania Usiyoyajua kuhusu Biashara ya Simu za Kariakoo, ukijua haya utakuwa mjanja…

    Ugomvi kati ya wateja na wauzaji wa simu, hasa hizi used za Dubai au refurbished, ni jambo linalotokea mara nyingi. Mara nyingi, chanzo kikuu ni pale simu inapoharibika, na mteja anataka kuirejesha ili abadilishiwe. Kuna wakati muuzaji anakuwa sahihi, na kuna wakati mteja anakuwa sahihi. Je, ni...
  4. stabilityman

    JamiiForums Tanzania Shtuka biashara ya simu inatajirisha

    Ohoooo...... Kama haujaaambiwa acha mimi nikuambie...... Kama umepata location nzuri Hii biashara unatajirika mapema tu.wabongo amkeni
  5. steve_shemej

    JamiiForums Tanzania Phone4Sale Biashara ya simu kwa mtaji mdogo

    Wateja wangu karibuni mjipatie simu kwa bei ya jumla na rejareja pia ukiagiza kutoka China kupitia sisi utapata kwa bei za viwandani kwa watakao agiza pisi nyingi. Tupo Kariakoo pia wateja wa mikoani na nje ya nchi tunawahudumia. Call or WhatsApp +255713861567
  6. Mayova

    JamiiForums Tanzania Msaada: Biashara ya kuuza simu inahitaji nini?

    Wazee mambo vipi? Natumaini mko vizuri sana na mungu anaendelea kutulinda. Sasa Naomba mwenye uzoefu wa biashara ya kuuza simu.
  7. Mwafrika mmoja

    JamiiForums Tanzania Milioni 8 yako itakupa milioni 20 kwa mwaka mmoja

    Habari za mchana wakuu, natumai hamjambo kabisa na mnaendelea katika harakati za kusaka mkate na kwa wale wanaugua Mungu awaponye kwa uwezo wake tuseme Amin !! Kwanza kabisa mimi ni mtu ambaye karibia kila baada ya dakika 5 lazima nizame kwenye deep thinking kuhusu kitu chochote (positive...
Back
Top Bottom