Wana jukwaa,
Naomba maelezo ya namna ya kuwa wakala wa M-PESA pamoja na uuzaji wa luku.
Ikiwezekana kama kuna mtu anayehusika moja kwa moja naomba kumuona. Nipo Dar es Salaam
wapalepale post
Heshima kwenu,
1. M PESA
2. Tigo pesa
3. Airtel money
4. CRDB fahari huduma
5. Kifaa cha max malipo...