Makampuni mbalimbali makubwa ya saruji nchini (ikiwemo Dangote, Moshi Cement/Jun Yu, Tanga Cement/Simba, Lake Cement/Nyati, na Mbeya Cement) yametangaza kupandisha bei za bidhaa zao kuanzia mwanzoni mwa mwezi Julai 2026.
Makampuni yote yanataja sababu zinazofanana zilizopelekea mabadiliko hayo...