Muandaaji wa shindano la Miss Tanzania aliyewahi kuwa Miss Tanzania mwaka 1998 amelalamikia Wizara ya Afya kukosa weledi kwa kutopeleka chanjo mahospitalini huku ikisemekana ni kutokana na Kampeni zinazoendelea ambapo bajeti kubwa imeelekezwa huko. Basila Mwanukuzi mwaka 2021-2023 alihudumu kama...
1. Mwanasiasa Mkongwe nchini. Anafaa kuteketeza Sera mpya ya Mambo ya Nje iliyozinduliwa hivi karibuni.
2. Haya yatawezekana tu akimng'oa Archbishop Dr Rashid Josephat Gwajima (PhD) Jimbo la Kawe.
Wananchi toka Oyster bay, Mikocheni, Kawe, Mbezi Beach, Tegeta, Mbweni na Bunju wamemchangia pesa ya kuchukua fomu na ya kampeni Miss Tanzania na Mkuu wa Wilaya Mstaafu Mheshimiwa Dr Basila Mwanukuzi ili kumuwezesha kunyakua Jimbo la Kawe kwenye uchaguzi Mkuu ujao
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.