bashiru ally

Bashiru Ally Kakurwa Tanzanian politician, diplomat and Member of Parliament. He was the Chief Secretary of Tanzania in the 5th Cabinet, appointed by President Magufuli into office February 26, 2021. Before he had been Secretary General of Chama Cha Mapinduzi political party in Tanzania, appointed by Magufuli into office on May 31, 2018. Prior to his appointment as party Secretary General, he was a lecturer at the University of Dar es Salaam.
During the first cabinet reshuffle under President Samia Suluhu Hassan he was dropped from his cabinet post and instead given one of the slots for appointed members of parliament on March 31, 2021.

View More On Wikipedia.org
  1. PostGE2025 Bashiru Ally: Maridhiano sio kati ya serikali na vyama vya siasa bali wananchi wenyewe

    Mbunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Aliyekuwa Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Bashiru Ally, amesema kuwa dhana ya maridhiano ya kweli haiwezi kujengwa juu ya makubaliano ya kisiasa pekee, bali lazima iyatokane na wananchi kama msingi wa mamlaka ya nchi...
  2. PostGE2025 Bashiru Ally: Amani, haki na uhuru ni msingi muhimu usiofaa kupuuzwa

    Bashiru Ally, ambaye ni Mbunge wa Kuteuliwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, amesema kuwa amani, haki na uhuru ni nguzo muhimu ambazo haziwezi kupuuzwa. Ameyasema hayo wakati akifanya mahojiano na Mtangazaji Chief Odemba katika kipindi cha Medani Kuu cha Star TV. Amesisitiza kuwa...
  3. PostGE2025 Bashiru Ally: Vyama vilivyoshiriki uchaguzi mkuu ni vyama vyenye ushindani na wala si PROJECT ya CCM

    “CCM ni chama cha kitaifa, chama ambacho kimeenea nchi nzima- Zanzibar na Tanzania bara, hakina sababu ya kuwa na ushirikiano wa vyama kama ‘vyama project’. Hivi ni vyama kamili, vyenye usajili kamili, vyenye nguvu zinazopishana na vilivyoshindana kulingana na uwezo wake na kwa hiyo vina haki ya...
  4. PostGE2025 Bashiru Ally: Siri ya ushindi mnono wa 97% ni uhakika wa kura za wanawake na ushawishi wao kwa wapiga kura

    Mbunge wa Bunge la Tanzania na aliyewahi kuwa Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Bashiru Ally, amesema ushindi mkubwa wa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan uliopatikana katika uchaguzi mkuu wa mwaka 2025 umetokana na mchanganyiko wa sababu kadhaa zinazohusu siasa za ndani, uimara wa...
  5. Maswali magumu ya CHIEF ODEMBA kwa DKT. BASHIRU ALLY KAKURWA

    https://www.youtube.com/live/YUnDBRtiw6g?si=73F2aIxv4h7Y-SqT
  6. PostGE2025 Mbunge wa Kuteuliwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Balozi Dkt. Bashiru Ally Kakurwa akiapa Bungeni jijini Dodoma tarehe 12 Novemba, 2

    Mbunge wa Kuteuliwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Balozi Dkt. Bashiru Ally Kakurwa akiapa Bungeni jijini Dodoma tarehe 12 Novemba, 2025.
  7. GE2025 Bashiru: Samia alikutana na majaribu mengi alisimama kidete

    Katibu Mkuu mstaafu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Dkt. Bashiru Ali amemtaja Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan kama kiongozi mwenye ubunifu, uchapakazi na umahiri katika mipango ya kuwatumikia Watanzania. Dkt. Bashiru amebainisha hayo leo Jumanne Oktoba 28...
  8. Profesa Tibaijuka na Masiringi ogeni maji ya moto mlale, mnajisumbua kuzunguka nae huyo sio wenu ni wa akina Bashiru Ally wa CUF

    Leo hii inafanyika mkutano wa HADHARA wa KISIASA pale mleba Proffesa Tibaijuka hakumbukwi hata kupewa mic asalimie kudadeki kila zama na zama zake Yaani mtu kama Masiringi Leo hii hapewi mic kuwatukana alivyozoea hii ni WITO kwao waache kujipendekezaogeni maji mlale CCM ya sasa ni ya Bashiru wa...
  9. K

    Bashiru Ally na Samia nao wapo njia hiyo hiyo ya Magufuli

    Bashiru Ally na Samia nao wapo njia hiyo hiyo ya Magu> Ni matambiko hayo. Wote walio kuwa kwenye uongozi wa Magufuli na walihusika kunyanyasa watu kwa njia yeyote wataondoka. Sasa wanaofuatilia ni Polepole, Bashiru, Makonda na Mama Samia wote wataondoka miaka michache ijayo kwa mazingira...
  10. GE2025 Dkt. Bashiru: CCM ndio chama pekee chenye nguvu ya kupambana na rushwa

    Mratibu wa kampeni wa Chama cha Mapinduzi (CCM) kwa mikoa ya Kanda ya Kati, Dk Bashiru Ally, amesema CCM ndio chama pekee chenye uwezo wa kupambana na rushwa na matumizi mabaya ya madaraka. Akizungumza Septemba 21, 2025, kwenye mkutano wa kampeni uliofanyika Uwanja wa Parking, Nzega Mjini, kwa...
  11. Dkt. Bashiru Ally Kakurwa, hilo kundi halikufai ondoka tafadhali

    Mimi niliku scout kama mtu elite na Marxist. Uliteuliwa kufanya tathmini ya Mali za chama na baadae Rais Magufuli alivutiwa na wewe akakuteua kuwa katibu mkuu wa chama na hatimae katibu mkuu kiongozi. Baada ya kifo chake uliondolewa kwenye nafasi ile kwasababu ambazo hata wewe unazijua vizuri...
  12. Rais Samia mteue Dr. Bashiru Ally Kakurwa akatuwakilishe kama balozi nchini Cuba

    Mh. Tafadhali mpeleke Dr Bashiru Cuba kabla hujatangaza kupumzika na kumwachia mwanachama mwingine kugombea urais mwaka huu. Asante kwa kuelewa, wasalimie sana hapo ikulu.
  13. Baada ya Bunge kuvunjwa rasmi, Je Dkt. Bashiru Ally anarudi UDSM kufundisha siasa na kuishi kwake pale Ubungo Maziwa?

    Bashiru Ally Kakurwa sijamuona akichukua Form Na sioni Kama akiteuliwa tena kwa Sababu alipopewa nafasi ya kutawala kosa kubwa alilofanya alitumia nguvu kubwa kutengeneza maadui . Je, atarudi Ubungo Maziwa na Udsm kuendelea kufundisha political science. Ushauri, mitaala imebadika kwa hiyo...
  14. Sura ya Bashiru Ally Kakurwa inazungumza mambo mengi sana !

    Sura huwa inazungumza. Ukimtazama Bashiru Anafikiria alivyoharibu demokrasia kuhasisi mambo ya kupita bila kupingwa Anafikiria ule mchakato wake wa wabunge na madiwani wa chadema kuhama na kuunga mkono juhudi. Na anafikiria je agombee ubunge pale Bukoba vijjini je atatoboa ? Wabunge wa ccm...
  15. Yote haya aliyaleta Bashiru Ally Kakurwa

    Mambo ya kupita bila kupingwa . Kununua wapinzani . Kuvuruga uchaguzi . Ni Kazi kubwa ya Bashiru Ally Kakurwa.
  16. G

    Yupo wapi ndugu Bashiru Ally Kakurwa?

    Jana nilikua napitia hafla ya kukabidhi ripoti ya ukaguzi wa mali za chama kinachotawala kutoka kwa katibu mkuu wa chama hicho kwa wakati huo kwenda kwa mwenyekiti wake. Nimekumbuka mbali na mengi sana. Hivi ndugu yetu mwalimu Bashiru Kakurwa yuko wapi? Amerudi darasani kupiga pindi au ndio...
  17. Kati ya Bashiru Ally na Magufuli nani anatakiwa kubeba lawama za kufifisha Demokrasia nchini?

    Hivi kati ya Bashiru Ally Katibu mkuu wa Ccm Mstaafu na Rais Magufuli nani anabidi kubeba lawama za kuua Demokrasia na leo tunaishi kwa mashaka. Ni nani kati ya Magufuli au Bashiru aliyeleta mfumo wa kupita bila kupingwa? Asante
  18. Bashiru Ally,ndiyo muhasisi wa siasa za kupita bila kupingwa

    Bashiru Ally, wewe ndo uliharibu wewe ndo muhasisi wa siasa za kupita bila kupingwa.
  19. Bashiru Ally Kakurwa rudi CUF, ongea na Lipumba ugombee Urais mwaka huu

    Ujumbe huu ni Kwa ajili ya ndugu Bashiru Ally kakurwa. Kwakuwa umepoteza Mvuto wa kisiasa basi rudi Nyumbani CUF ukagombee urais. PIA SOMA - CUF yaanza maandalizi mapokezi ya Dkt. Bashiru, yakiri ni mwanachama hai wa chama hicho, akilipia kadi yake
  20. Ni mstari gani wa kwenye biblia ukiosoma unaona unamfaa Dk Bashiru Ally Kakurwa

    Zab23 Bwana ndiye mchungaji wangu sitapungukiwa na kitu ...nijapopita katika bonde la mauti sitaogopa. Yeremia 17:5 Amelaaniwa yule amtegemeaye mwanadamu
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…