barua chadema

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Mafyangula

    JamiiForums Tanzania Sisty Nyahoza: Ofisi ya Msajili Hajakiuka amri ya Mahakama kuwaandikia barua CHADEMA

    Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa Nchini, kupitia kwa Naibu Msajili wa Ofisi hiyo Sisty Nyahoza imetoa ufafanuzi kuhusiana na madai ya kwamba barua iliyoandikwa 'kutoka kwao' kwenda Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Mei 26 mwaka huu inakiuka amri/ zuio la Mahakama lililotolewa hivi...
  2. Troll JF

    JamiiForums Tanzania Msajili wa Vyama vya Siasa Ailima barua CHADEMA na kuipa Siku 13 Kujieleza Dhidi ya Tuhuma za Ukiukwaji wa Sheria ya Vyama vya Siasa

    Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa imekitaka Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) ndani ya siku 13 kueleza kwa nini kisichukuliwe hatua za kisheria, ikiwemo kusimamishiwa usajili au kutozwa faini kwa madai ya kukiuka masharti ya Sheria ya Vyama vya Siasa. Alipotafutwa Msajili wa Vyama...
  3. figganigga

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 CHADEMA yatilia shaka mwakilishi wa UN, yataka Tume Huru ya Uchunguzi ya kimataifa

    Chama cha Denokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimemwandikia barua Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa (UN), António Guterres, kikieleza wasiwasi wake juu ya iwapo mwakilishi waliyekutana naye, Parfait Onanga-Anyanga, alitumwa rasmi na ofisi yake kufuatilia matukio ya kabla na baada ya Oktoba 29, 2025...
Back
Top Bottom