TAARIFA KWA UMMA
Dodoma; April 25, 2025
Kumekuwa na wimbi la taarifa mbalimbali kwa umma zinazozambazwa kwenye mitandao ya kijamii ambazo zinaonyesha kutolewa na Baraza la Famasi. Baraza linapenda kuutarifu umma kuwa taarifa hizo ni za kughushi na hazijatolewa na Ofisi ya Msajili.
Tunapenda...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.