barabara za lami

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Ushauri kwa Serikali kupitia TANROAD, ni afadhali kutokujenga barabara za lami zenye kiwango cha chini mpaka pale budget kubwa itakapopatikana

    Ushauri kwa Serikali kupitia TANROAD, ni afadhali kutokujenga barabara za lami zenye kiwango cha chini mpaka pale budget kubwa itakapopatikana Kujenga barabara za lami zenye kiwango cha chini cha ubora ni kuingiza hasara kwasababu italazimu kurudia kwa mara nyingine kwasababu ya kushindwa...
  2. GE2025 Samia aahidi kujenga barabara za lami Kilimanjaro

    Dkt. Samia Suluhu Hassan, Mgombea wa nafasi ya Urais wa Tanzania kupitia Tiketi ya Chama Cha Mapinduzi ameahidi kuendelea kuufungua Mkoa wa Kilimanjaro kwa miundombinu ya barabara za lami, zege na changarawe ili kusisimua uchumi wa mkoa huo na kukuza biashara ya kimataifa kati ya Kanda ya...
  3. PreGE2025 Ujenzi wa barabara za lami kata ya Biharamulo Mjini

    UJENZI WA BARABARA ZA LAMI KATA YA BIHARAMULO MJINI. Kuna kazi ya kasi bado inaendelea kutekelezwa jimboni biharamulo kata ya biharamulo mjini kuakikisha barabara zote za mjini zinajengwa kwa kiwango cha lami tangu mbunge wa biharamulo Eng Ezra Chiwelesa awe mbunge wetu . Barabara hii ni mfano...
  4. P

    KERO Baadhi ya Barabara za lami Tabora mjini zinaota majani na kufanya barabara kuwa ndogo

    Barabara ya Kitete Hospital, kupitia bank ya damu hadi Game reserve imeota majani mengi kwa muda mrefu na haijawahi safishwa. Hali hiyo inapelekea watembea wa miguu kuwa hatarini maana wanatembea katikati ya barabara maana barabara imekua ndogo, majani yameota upande wa kushoto na kulia...
  5. Kwa nini barabara za vijijini huwa hazijengwi kwa lami?

    Kwenye majiji angalau unaweza kuona barabara za lami au zege zinajengwa mitaani ila ni nadra sana kukuta barabara za vijijini zina lami, labda kwa mikoa michache kama Kilimanjaro. Kuna sera inayoelekeza barabara za lami zijengwe kwenye mitaa ya majiji na sio vijijini?? Hii hapa ni barabara ya...
  6. Serikali imejenga Barabara za lami zaidi ya kilometa 819 nchi nzima huku barabara za changarawe zimejengwa kwa zaidi ya kilometa 11,900 kote nchini

    Serikali imejenga Barabara za lami zaidi ya kilometa 819 nchi nzima huku barabara za changarawe zimejengwa kwa zaidi ya kilometa 11,900 kote nchini kwa barabara za mijini na vijijini. Bajeti ta TARURA imeongezwa kutoka shilingi bilioni 654 hadi trilioni 1.59 ambazo zimeongezwa ndani ya miaka...
  7. F

    Mahitaji ya watu wa mikoa ya kaskazini ni barabara za lami, reli na mipango miji na sio umeme kutoka Ethiopia!

    Mikoa ya kaskazini imekuwa na umeme tangu zamani. Kwa mfano Kilimanjaro kila kijiji kimeunganishwa na gridi ya Taifa. Kama rais Samia anatafuta kitu cha kuwafanyia watu wa mikoa ya kaskazini basi afanye haya: 1. Barabara za lami 2. Reli ya mpya (SGR) 3. Mipango miji 4. Viwanda Kusema ataleta...
  8. PreGE2025 Bilioni 17 kubeba ujenzi wa stendi kuu na barabara za lami Mjini Babati

    Serikali imetenga Shilingi bilioni 17 kwa ajili ya ujenzi wa Stendi Kuu ya Kisasa mjini Babati pamoja na ujenzi wa kilomita 10 za barabara za lami katika mji huo. Ujenzi wa miradi hiyo unatarajiwa kuanza rasmi mwezi Mei 2025 kama sehemu ya kuboresha miundombinu na huduma kwa wananchi. Pia...
  9. Serikali ya awamu ya sita chini ya Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan imeongeza urefu wa mtandao wa barabara za lami za mikoa na wilaya kutoka kilomita 13,

    Serikali ya awamu ya sita chini ya Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan imeongeza urefu wa mtandao wa barabara za lami za mikoa na wilaya kutoka kilomita 13,235.1 mwaka 2020 hadi 15,366.36 mwaka 2024. Huo ni utekelezaji wa ujezi wa barabara zenye urefu wa kilomita 2,131.26. Pakua Samia App kupitia...
  10. Lami itawasaidia nini wakazi wa Dar?

    Nilitarajia wajengewe mazingira ya kuwaokoa kiuchumi na kuwapaisha kimaisha. Lami bila hela?
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…