Ni kawaida kwa wanaume wengi kushuhudia uume “kulala” au kulegea mara tu baada ya kumaliza tendo la kwanza la ngono (kufika kileleni / kumwaga shahawa).
Hali hii husababishwa na mabadiliko ya kimwili na homoni baada ya kufika kileleni (kumwaga shahawa). Lakini kwa wanaume wengine, inaweza kuwa...
Nimechoka kudhalilika na hivi vidakika viwili vitatu. Isitoshe nilipo joto ni kali sana kurudia inakuwa tabu sana sasa ni bora tu mtu upige shoo ya dakika 40 (iwe kama two in one) Ili msichoshane tena na joto hili.
Msaada tafadhali, leteni mbinu hizo wadau!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.