bajeti ya taifa

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. O

    Sakata la Yanga na Simba: Njia Mpya ya Kuepuka Mjadala Mkali wa Bajeti ya Taifa?

    Bajeti ya taifa ni nyenzo muhimu inayolenga kuhakikisha serikali inatoa huduma kwa wananchi na kuendeleza taifa. Ni hati ya fedha inayotoa dira ya mapato na matumizi ya taifa. Hata hivyo, bajeti ya mwaka 2025/2026 imeonyesha mazingira ya kipekee ambapo mjadala wa kitaifa juu ya bajeti uligubikwa...
  2. Subira the princess

    Hawa ndo wabunge wetu wanaojadili bajeti ya taifa 2025/2026

    Wasalaam Watanganyika tunapodai katiba mpya tunaebuisha hii aibu isiendelee kulikumba taifa. Angalau mtanganyika anaegombea ubunge awe na degree moja na sio sifa ya kujua kusoma na kuandika. Hao ndo wabunge wetu wanaojadili bajati ya serikali 2025/2026, unategemea nn? Ndo maana wengine...
  3. Tajiri wa kinyankole

    Usimamizi mbovu ndio unaosababisha bandari kuchangia 37% ya bajeti ya taifa

    Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi Prof Mbarawa amesema pamoja na Serikali kuwekeza tsh 1 trillion pale Bandarini bado performance imekuwa hairidhishi. Tatizo la bandari yetu kuchangia bajeti 37% ni kwasababu ya usimamizi mbovu ambapo hupelekea baadhi ya vigogo wa serikali na watu mashuhuri kipitisha...
Back
Top Bottom