Waziri wa Fedha, Balozi Khamis Mussa Omar, akiwasilisha Bajeti Kuu ya Serikali kwa Mwaka wa Fedha 2026/27 bungeni leo, ameeleza kuwa hali ya deni la serikali hadi kufikia mwezi Machi 2026 imefikia shilingi trilioni 114.34.
Katika kiasi hicho cha deni, Mhe. Balozi Khamis amebainisha kuwa deni...