Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (@ccmtanzania) Tanzania Bara, Stephen Wasira amezuru kuburi la Rais wa Awamu ya Tano, Hayati Dk. John Magufuli, Chato mkoani Geita.
Wasira amezuru kaburi hilo leo Juni 18, 2025 akiwa katika ziara ya kukagua uhai wa Chama katika mkoa huo pamoja na...