augustino polepole

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Cute Wife

    Augustino Polepole: Najua Humphrey Polepole yupo Kigamboni, mumpeleke kwa mama yake, mkimhamisha mtajuta

    Wakuu, Kuna habari gani kuhusu huyo Mafwele, naona mapichapicha tu huko mtandaoni! Kweli jamaa aliingia kwenye kumi na nane za Kanali? Baada ya kaka wa Augustino Polepole kuongea mchana wa leo, amerusha tena video nyingine akisema amepata habari wanataka kumhamisha Polepole kutoka hapo...
  2. Hance Mtanashati

    Yuko wapi Augustino Polepole

    Jamaa alichimba biti zito la mdogo wake kuachiwa ndani ya masaa 24, yakipita hayo masaa atakinukisha vibaya mno. Cha ajabu yamepita masaa, siku, wiki, mwezi hatimaye miezi sasa jamaa hakuna lolote alilolifanya. Je yeye ndiye amefanyiziwa? Huu ukimya unaleta mashaka.
  3. Mfilisiti

    PostGE2025 Kwenu nyinyi mnaombeza Augustino Polepole "Kisasi hakina Deadline"

    Watanzania tunaishi kwa mazoea sana, hata tarehe 29 wengi wenu mlitoa maneno ya kejeli mkisema ni mikwara tu, Je kilitokea nini?? Augstino Polepole amewapa masaa 24 ndugu yake awe amepatikana, kinyume na hapo ni kisasi. Augustino Polepole hajasema kisasi kitatekelezwa lini. Kisasi hakina...
  4. Hance Mtanashati

    Sina imani sana na Augustino Polepole, nashawishika kumuona kama attention seeker

    Jamaa sina imani naye , nashawishika kumuona kama attention seeker . Na asipofanya kweli, hakuna Mtanzania yeyote atamsikiliza teeena. Maneno mengi utendaji sifuri. Nikijaribu kuunga dots tangu aliposema anajua Polepole alipo kwa sababu ana microchip mwilini mwake ila cha ajabu kadri siku...
  5. mwehu ndama

    PostGE2025 Kanali Augustino Polepole asipuuzwe

    Nimesikiliza kwa umakini na wivu mkubwa ujumbe wa mwisho toka kwa afande kanali , ndugu Augustino polepole. Huyu ni mtu ambae ni wazi Hana Tena cha kupoteza. Nafikiri ni ndugu ambae aliapa kulinda familia ya baba yake kwa gharama ya damu yake. Mtu huyu pia ni askari jeshi ambae masilahi yake...
  6. mwehu ndama

    Everyone deserves a brother like Augustino Polepole

    Jamaa ni Mfano halisi wa ndugu wa damu .Ukiwa na kaka au dada kama huyu unapaswa kutembea kifua mbele, hakika una malaika wako duniani..Sisi wengine tulishawahi kuingia kwenye misala mizito afu mabraza wakachimba kama filbert bayi.
  7. Waufukweni

    Kaka yake Polepole, Augustino Polepole ametoa saa 24 kaka yake aachiwe, kinyume na hapo atalipa kisasi

    Kaka yake Humphrey Polepole, anayejitambulisha kama Kanali Augustino Polepole ametoa saa 24 kaka yake aachiwe au apelekwe Segerea kwa Mama yake, vinginevyo Kikwete, Ridhiwani, Samia, IGP na wengine waongeze ulinzi maana atalipa kisasi
  8. Mafyangula

    Kaka wa Humphrey Polepole, Kanali Augustino Polepole azungumza mazito zaidi ikiwa leo ni kumbukizi ya mdogo wake

    Baada ya kimya kirefu kidogo, kaka wa balozi Humphrey Polepole, Kanali Augustino Polepole atokea na kuzungumza na umma wa watanzania yasikilize aliyosema leo ikiwa ni kumbukizi ya siku ya kuzaliwa ya balozi humphrey polepole Habari njema: Tanzania mpya imeshakuja na hakuna wa kuizuia kwa namna...
  9. Mkalukungone Mwamba

    Augustino Polepole: Mafwele Oktoba 14 saa tatu usiku uliwatuma vijana wako wakaruka ukuta. siku ile nilikuwa na wadusua

    Kaka yake Humphery Polepole Agustino amendelea kuzungumza tangu kutekwa kwa mdogo wake ambapo hadi sasa zimepita siku 14. Miongoni mwa yale aliyoyasema ni kuhusu Ridhiwani Kikwete kudai kwamba anafahamu alipo Polepole Agustino akaendelea kusema ushahidi wote upo na kauli hiyo aliitoa Mbeya...
  10. DuaZaMama

    Kaka yake Polepole anasema usiku watekaji walienda kwa mama yake

    Baada ya saa chache kulikosoa jeshi la Polisi Kaka yake Polepole anasema usiku watekaji wameenda kwa mama yake. Pia Soma: Updates: Kaka wa Polepole awajibu polisi kuhusu kutekwa kwa mdogo wake Balozi Humphrey Polepole
  11. Waufukweni

    Polisi: Tunamtafuta Augustino Polepole kutoa ushahidi juu ya shutuma za kutekwa Humphrey Polepole

    Jeshi la Polisi kama lilivyotoa taarifa yake jana Oktoba 6,2025 kwamba, limeanza uchunguzi wa tuhuma zilizo tolewa na Augustino Polepole kuwa, ndugu yao Humphrey Polepole ametekwa, jalada la uchunguzi lilifunguliwa jana hiyo hiyo. Pamoja na kukusanya taarifa mbalimbali, Jeshi la Polisi...
Back
Top Bottom