asali mbichi

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. IREPAS AGRICULTURAL CO

    JamiiForums Tanzania Faida za Asali Mbichi isiyochakatwa

    Haina uchakataji mwingi: Asali mbichi haijapashwa joto kali, hivyo huhifadhi virutubisho vyote vya asili. Ina enzymes hai: Ina vimeng’enya vinavyosaidia mmeng’enyo wa chakula na afya ya mwili. Ina bakteria wazuri (probiotics kwa kiasi): Husaidia usawa wa bakteria kwenye mfumo wa chakula. Ina...
  2. chama mpangala

    JamiiForums Tanzania Asali mbichi ya nyuki wakubwa – 100% natural

    Unatafuta asali halisi yenye nguvu za kiafya na ladha tamu ya asili? Hii ndiyo fursa yako! Asali Mbichi ya Nyuki Wakubwa Haina uchakachuaji – ni mbichi na safi moja kwa moja kutoka shambani. Faida lukuki kwa afya: huimarisha kinga, kuongeza nguvu mwilini, na kusaidia mmeng’enyo. Ladha ya...
  3. M

    JamiiForums Tanzania INAUZWA Nauza asali mbichi

    Napatikana sinza nauza asali mbichi toka inyonga mpanda, lita moja 15000, lita 5 kwa 65000, lita 20 kwa 250000. NB: Kuonja na kutest haijachakachuliwa ipo pia. Mawasiliano ni 0781235918/0743849655.
Back
Top Bottom