anjela kizigha

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. M

    JamiiForums Tanzania Kwa nini Angela Kizigha, James Millya na Ng'waru Magembe wanapaswa kujiuzulu ubunge EALA Kuepusha kuendelea kuvunja mkataba wa Jumuiya

    Kwa mujibu wa ibara ya 50(1) ya Mkataba unaoanzisha Jumuiya ya Afrika Mashariki kila nchi mwanachama wa Jumuiya zinapaswa kuchagua wawakilishi tisa kwenda kuwa wabunge wa Jumuiya ya Afrika Mashariki. Kwa upande wa Tanzania utaratibu wa kuwapata wawakilishi hawa kwa kiasi kikubwa unafanana na...
  2. britanicca

    JamiiForums Tanzania Nina Uhakika 100% from the inner source Anjela Kizigha alileta silaha kutumika kwenye shughuli ya mauaji 29/10 huku akiwa ndani ya Ikulu ya Tanzania

    Huyu mama ni balaa kwa Taifa akiwa ndani ya Ikulu Waliweka mpango kuwa silaha wakabidhiwe kundi kutoka nje ya Bara yaan Uganda na Zanzibar alafu watandikwe wote ambao wanapinga uchaguzi, Pili mtu mzito toka TISS kwa jina ***** ameiambia tume ya Chande kwamba Anjela Kizigha akiwa ikulu Tarehe...
  3. Etwege

    JamiiForums Tanzania Kumteua Anjela Kizigha ni wazi dozi ya Oktoba 29 haikukuingia vizuri

    Mtu huyu ni fisadi na amelalamikiwa na majeshi yetu na kila mtanzania anajua lakini wewe tuliyekupa dhamana ya kupambana na ufisadi unaonekana kumpenda sana huyu mtu na unazunguka nae kila unapoenda, kana kwamba haitoshi umeamua kumteua ubunge ili umpe uwaziri aendelee kufanya ufisadi wake kwa...
Back
Top Bottom